Mwanaume hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi lakini anachagua Mwanamke wa kumuoa

Mwanaume hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi lakini anachagua Mwanamke wa kumuoa

Boss Man

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2022
Posts
458
Reaction score
991
Je ni kweli kwamba Mwanaume huwa hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi na Mwanamke anafanya Mapenzi na Mwanaume anayempenda?

Lakini mambo ni tofauti linapokuja swala la ndoa. Mwanaume akitaka kuoa anaoa mwanamke anaye mtaka tofauti na Mwanamke yeye anaolewa na Mwanaume anayempata.

Umejifunza Nini hapo kwenye hiyo Scenario?

Screenshot_20220703-212300.jpg
 
This must be true for Christians but for Muslims I disagree. Unajua mkristu kifo ndo kinawatenganisha ila kwa wenzetu waisklam unakuta mtu anaoa mwezi wa Ramadhan ili aweze kujikinga na majaribu mwezi ukiisha wanaachana. .

Kwa hiyo Abdul anaweza kuchagua wa kuoa ili afanye nae mapenzi kisha anamwacha, kifupi chake manake unaweza chagua wa kufanya nae mapenzi. .

Ila mie nina alergy na wanawake walionizidi umri kwa hiyo nachagua wa kulala nao. Tena huwa nachagua sana kwanza naangalia anapiga mswaki vizuri, anaoga mara tatu kwa siku, hana msitu kichaka, yuko well mentally wengine machizi wasiojulikana, kama hajawahi lala na mtu ninayemjua siwezi lala na mtu aliyelala n mtu nayemjua, kama anasema oh my god huyo hata kama kavua namvalisha aende kwao kwani huy god ndo nani nk. Kuna mmoja wakati nampapasa alikuw mtoto wa kichaga alikuwa analia uwiiiiiiiiii, nikamwambia akalale kichwa kinaniuma. .
 
Ila mie nina alergy na wanawake walionizidi umri kwa hiyo nachagua wa kulala nao. Tena huwa nachagua sana kwanza naangalia anapiga mswaki vizuri, anaoga mara tatu kwa siku, hana msitu kichaka, yuko well mentally wengine machizi wasiojulikana, kama hajawahi lala na mtu ninayemjua siwezi lala na mtu aliyelala n mtu nayemjua, kama anasema oh my god huyo hata kama kavua namvalisha aende kwao kwani huy god ndo nani nk. Kuna mmoja wakati nampapasa alikuw mtoto wa kichaga alikuwa analia uwiiiiiiiiii, nikamwambia akalale kichwa kinaniuma. .
Aisee mkuu kwa mwendo wako huu mbinguni utafika umechoka sana!

Hao unaochagua wanakulipa wao au maana naona kama unafanya kazi kubwa sana
 
Aisee mkuu kwa mwendo wako huu mbinguni utafika umechoka sana!

Hao unaochagua wanakulipa wao au maana naona kama unafanya kazi kubwa sana
Nimeandika wakati nikiwa kijana ndo nilikuwa nachagua sasa niko kijana mkubwa nina familia na mtoto wa kike.

Nimekuwa mstaarabu sana nalea ndugu yangu. Nimeeleza nature yangu tu kwenye kuchagua sio kuwa nachagua sasa; nitapata wapi mda wa kutafuta hela wakati mimi mangi?
 
This must be true for Christians but for Muslims I disagree. Unajua mkristu kifo ndo kinawatenganisha ila kwa wenzetu waisklam unakuta mtu anaoa mwezi wa Ramadhan ili aweze kujikinga na majaribu mwezi ukiisha wanaachana. .

Kwa hiyo Abdul anaweza kuchagua wa kuoa ili afanye nae mapenzi kisha anamwacha, kifupi chake manake unaweza chagua wa kufanya nae mapenzi. .

Ila mie nina alergy na wanawake walionizidi umri kwa hiyo nachagua wa kulala nao. Tena huwa nachagua sana kwanza naangalia anapiga mswaki vizuri, anaoga mara tatu kwa siku, hana msitu kichaka, yuko well mentally wengine machizi wasiojulikana, kama hajawahi lala na mtu ninayemjua siwezi lala na mtu aliyelala n mtu nayemjua, kama anasema oh my god huyo hata kama kavua namvalisha aende kwao kwani huy god ndo nani nk. Kuna mmoja wakati nampapasa alikuw mtoto wa kichaga alikuwa analia uwiiiiiiiiii, nikamwambia akalale kichwa kinaniuma. .
Pamoja na hayo, lakini Wanaume wa aina yako wapo wachache sana, Yani wale ambao hawachagui ndio wapo wengi
 
Pamoja na hayo, lakini Wanaume wa aina yako wapo wachache sana, Yani wale ambao hawachagui ndio wapo wengi
Kweli kabisa naamini hata wewe naamini unachagua. Unaweza chukua mwanamke kwenye vilabu vya pombe vya kienyeji?
 
Kweli kabisa naamini hata wewe naamini unachagua. Unaweza chukua mwanamke kwenye vilabu vya pombe vya kienyeji?
Even me pia nachagua, lakini hao wa Kwenye vilabu vya pombe wanauchukulia vizur tu, Kwan hujawahi kuona kichaa wa kike ana ujauzito?
 
This must be true for Christians but for Muslims I disagree. Unajua mkristu kifo ndo kinawatenganisha ila kwa wenzetu waisklam unakuta mtu anaoa mwezi wa Ramadhan ili aweze kujikinga na majaribu mwezi ukiisha wanaachana. .
Mkuu una kazi sana
 
Back
Top Bottom