Mwanaume Hana Moods


hata wewe umeonekana dada,
kweli hili limekugusa.
 

hahahahha MJ1, khaaa..nimecheka sana!....ucnikumbushe ya juzi kati hapo, MJ1 inakera bwana asubuhi mmeondoka vzr jioni mchuno, ukiuliza hujibiwi, na mie nagoma, akionaga umezidi atatoa lililopo moyoni, kumfikiria m2 mzima ni pressure ati.
 
hahahahha MJ1, khaaa..nimecheka sana!....ucnikumbushe ya juzi kati hapo, MJ1 inakera bwana asubuhi mmeondoka vzr jioni mchuno, ukiuliza hujibiwi, na mie nagoma, akionaga umezidi atatoa lililopo moyoni, kumfikiria m2 mzima ni pressure ati.
Lol nisamehe mwaya yaani hapa leo Dena kanigusa, ni pressure hata si urongo unajikuta tu unakaa ndani mwako ka muuza gongo anayeogopa mgambo. Maana hujui umemfanya nini au kama si wewe ni nani phweee. Mie wangu alikuwa akikorofishwa na wateja wake huko kwenye kibanda chake cha chips, moto unaniwakia mimi na bahati mbaya hata ukimwuliza anaona aibu kusema si wewe matokeo yake anaanza kukutafutia makosa....hukawii kusikia kwa nini unanyoosha nguo asubuhi!!....eti hilo ndo linalomnunisha!
Afu ukisema ugome na wewe maana si kagoma, kibao kinageuzwa kosa linakuwa kwa nini umenikasirikia khaa ...kwa kweli nilikuwa nachoka sana mwenzenu.
 
Lol! Toka alfajiri nilitaka kusena hii nikazuia vidole vyangu. Wazee wa infii,hivi ukiwa umekwazwa na small house unaomba ushauri kwa wife ama unagugumia? Ngojka nikamsake bishanga kwanza
Huyu amepagawishwa na nyumba ya kati
 

Si unajua tena bana na wewe
 

Ndio maana nisipokuona nakosa amani rohoni mwangu thanx
 

Edson acha tu mambo haya nitakwambia tukionana
 
Lol afu usipoteege msanake nakumisigi bhange zako

hahahahha MJ1, khaaa..nimecheka sana!....ucnikumbushe ya juzi kati hapo, MJ1 inakera bwana asubuhi mmeondoka vzr jioni mchuno, ukiuliza hujibiwi, na mie nagoma, akionaga umezidi atatoa lililopo moyoni, kumfikiria m2 mzima ni pressure ati.
 

Bwana weee acha tu hawa viumbe hawabebeki kwamwe (sio wote lakini)
 
word.....labda Dena angedokeza kidogo chanzo cha mnuno 2pate kuelewa kidogo...

Nyamayao bana na wewe unakaba mpaka penalt??????? Unataka mambo yote niweke hadharani??????
 

kuna wakati nakufukuriaga mpaka nasema may b haikuwa akili yako(upendo/mapenzi ulikufunika macho/mackio)...kuna wanaume wanapata wanawake jamani, MJ1 huyu wako atakukumbuka sana sana 2, khaaa, aisee! huko aliko nahic anatamani cku zirudi nyuma sema ndio hivyo tena, huko mbeleni natamani akutane na kina Nyamayao, hivi wewe ungeweza kurudiwa asubuhi mfululizo bila kuuliza na anakuta umemuandalia kila kifaacho kwa ofc na maisha yanasonga na roho hainish2ki? (nilifanya 2 kutoa taarifa kwao kwamba huyu binadamu cku hizi alali home so kikitokea cha kutokea tutashirikiana kulipokea) hakuna cha kuuliza upo wapi?/utarudi?/umetoka wapi?....akajiuliza huyu m2 hana habari na mie tena nn? wacha bwana wa2 2mepitia aisee, nashukurugi kwa hii roho niliyonayo.....
 
che
Hahahahahaha nyamayao bwana, loh nadhani alinionea tu kwa kuwa nilikuwa mdogo sana kwake loh ........Haya mambo haya bana yaacheni kabisa, leo hii ananiona wa maana na simu anajipigisha, mie limoyo lishakufa ganzi na nimeshakutana na makina nyamayao, nyumba kubwa, Ashadii yamenikomazaje? yamenifundisha maujeuri yooote yaani sifai tena kuwa mke mwenzenu loh niachenigi tu ahahahahahah.

Umenichekesha hapo pa kutoa taarifa we mwanamke umepinda aisee! leo nimecheka sana humu ndani sina uhakika nimeongeza siku ngapi za kuishi duniani aisee. Dah
 
Hiyo tabia yako ya kulala umevaa skin tight,
sdiria, soks ndo inayomuuzi tu,
hana tatizo lingine.

Ha ha ha ha Mamndenyi na joto lote la Dar nitaweza wapi kulala na hizo nguo zote???
 
Lol afu usipoteege msanake nakumisigi bhange zako


majukumu 2 swir wangu.....hahahaha wacha 2, kama ha2kuachana kile kipindi bac cjui 2taachanaje aisee...yeye alikuwa akipata prblms kwao anani2mia msg kuna hiki na hiki home hebu fuatilia, hata kujibu msg cjibu achia mbali kufatilia, kwani mama yake amefatilia prblms zangu kuanzia nilivyomueleza hata kuni2mia msg ya kuniuliza mnaendeleaje hakuna, y mie niijichokee na ya wa2 wkt nina ya kwangu rundo?..mie nikipata prblms kwe2 huyoooo safari nikifika 2 ntaambiwa na mama wa2 hawaishi hivyo mwenzio anakuulizia uwe una mpa taarifa za matatizo bac, waiii ninao huo muda sasa?.....
 

Umemaliza kila kitu..................
 
Lol! Toka alfajiri nilitaka kusena hii nikazuia vidole vyangu. Wazee wa infii,hivi ukiwa umekwazwa na small house unaomba ushauri kwa wife ama unagugumia? Ngojka nikamsake bishanga kwanza

Dah King'asti umeua mazimaaaaa
 

ndio swir....imagine huko kikatokea k2 kibaya cjasema lolote kwa family yake, c itakula kwangu?...mtoto kwa mama hakui milele, kuna wkt nilikuwa napekua cm yake kutafuta no ya mdada niliyoambiwa ndio anakula nae gud tym cku hizi, ktk tafuta kwa muda mrefu (coz haku save jina, sms zinafutwa, so ikawa ngumu kdgo, cwezi kucal kila rec calls) nikawa nakuta sms's za mamake, "mwanangu unaendeleaje/kama unaona vipi chukua likizo uje upumzike kdgo etc"...hakujali usuluhu bali alijali maendeleo ya mwanae...( Asprin nimekusoma kdgo kwenye thread fulani, wewe jua mtoto na ***** cku zote)...hili game bila ugumu utabakia skeleton, wengine kwa ugumu ndio hips zinaongezeka...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…