Bado ninatafuta mwanaume jamani awe HIV+. miaka 33 kuendelea awe na shughuri ya kumuingizia kipato. Zaidi awe maeneo ya Iringa,,Mimi Nina miaka 30,muajiliwa,mtoto mmoja,
Mkuu pole sana,naona tangu 2018 hadi Leo hujapata hitaji la moyo wako, naachilia nguvu za Mungu ziwe juu yako, mwaka huu usipite bila kupata hitaji la moyo wako. Mwanaume HIV positive 30 above
Mkuu pole sana,naona tangu 2018 hadi Leo hujapata hitaji la moyo wako,naachilia nguvu za Mungu ziwe juu yako,mwaka huu usipite bila kupata hitaji la moyo wako.https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1477060/
Tatizo umebagua, ungesema tu kuwa mimi nipo HIV+ ninahitaji mwenza wa kiume umri fulan basi, lakini ulivyosema mwanaume HIV+ inamaana wanaume walio negative wenye nia na wewe umeshawawekea boundary