Mwanaume HIV+ anahitajika

na hayo meno yako makubwa namna hiyo nani akuoe, hamchelewi kuuma watu siku hizi
 
Mkuu pole sana,naona tangu 2018 hadi Leo hujapata hitaji la moyo wako,naachilia nguvu za Mungu ziwe juu yako,mwaka huu usipite bila kupata hitaji la moyo wako.https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1477060/
Amiiiina barikiwa sana Mtumishi
 
Tatizo umebagua, ungesema tu kuwa mimi nipo HIV+ ninahitaji mwenza wa kiume umri fulan basi, lakini ulivyosema mwanaume HIV+ inamaana wanaume walio negative wenye nia na wewe umeshawawekea boundary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…