majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 454
- 636
Lete kuku mkuu tuwalishePumba
SinaLete kuku mkuu tuwalishe
hahaha [emoji23][emoji28] sasa kisa cha kushindwa kula nn au alikuwa mwanafunzi?!usiombe ukutane na hili jibu "baby sijaziona siku zangu"
mara ya kwanza kusikia nilishindwa kula
Nimemuongezea linnginePumba
Labda wanaume wa buguruni na huko keko toroli. Hivi ni kwanini upumbavu ka kasehemu fulani mnapenda kutaka kuufanya uonekane kama ndiyo general rule? Au ni kwa sababu wapumbavu ndiyo pekee wenye ujasiri wa kuzusha na kusambaza vito na kuviongea kwa ujasiri na kujiamini?Vijiweni kwetu vya ghahawa, wadau wanadai kama Mwanaume hujawahi lengeshwa au tegeshewa mwanamke apate mimba, hata ya kusingiziwa, basi wewe hujakamilika, huna mvuto, huna uwezo kifedha, yawezekana hata mbegu zako hazina mvuto kwa wanawake!
Je ni kweli? JF wanasifika katika kuchambuwa mambo ya kijamii kama haya, ebu njooni tuseme kama ni kweli au pumba, au ni ufala na ulodi lofa..
alikua mwanachuo halafu simpendi hata kidogo mkuu, nili stack kwanzahahaha [emoji23][emoji28] sasa kisa cha kushindwa kula nn au alikuwa mwanafunzi?!
Post naona inashabikia uzinzi uzinzi tuHii imenichekesha maana kuna wanaume wanapata wakati mgumu sana linapofikia suala la uzazi....