Mwanaume jitahidi kila mwezi ufahamiane na angalau wanawake wawili

Demu anae kupuna wewe mahela na kwenda kuishi maisha ambayo wewe huna ...ndio huyo huyo ninae mla kwa ofa ya out tu
Ndio maana nikakwambia hizo mbinu zako hutumiwa kama huna pesa. Watu kama kina Fredy vunjabei eti aanze kuhangaika kuchukua namba 2 kila mwezi. Huo muda wa kuchart na kujua interests za hao mamanz unautoa wapi labda hiyo iwe ndo kazi yako maalum.

Na haijalishi huyo mwanamke pesa ntakayompa atatumiaje, hilo mi halinihusu kikubwa nimepata nitakacho basi. Na hii ni ili upate tunda tu baasi ukimchoka unamtema, ukimtamani tena kama kawa ni ulimbo tu hata sio kujitesa kukalili formula.
 
Naaidi kutumia hii ilan yako kama machimbo yote yatafungwaa...sina muda wa kuanza kuwasiliana na wanawake kisa ni kutaka mbususu...
Hii njia ni kwa jobless tu. Mtu mtaftaji haimfai hata kidogo.
 
Hii formula ndo naitumia!! Sijawah kutongoza dem hata siku moja! Nachukua no then namualika out after some time then nakula kimasihara!! Mimi kwa siku huwa nafahamiana na wanawake hata watano😂😂!! Inategemea tu soko limekaaje!! Sema pia inabid mfukoni uwe vizuri!
 
Kwa mwezi wanawake wawili???


Aiseeee kweli wengine moja moja mnaenda mbinguni
 
Sawa ni chaguo lako kupoteza hela au kupoteza pesa pia au kupoteza vyote kwa pamoja wote ni upotezaji [emoji38][emoji38] kikubwa wote mmekula kishimo
 
Hapo kwenye mfuko Kuna sehemu unayumba Kuna jinsi ya kuwatuliza wasikuombe hela . Ila utawapa siku ya mtoko tu
 
Tafsiri ya penzi la kweli haijaeleweka miongoni mwa wengi!

Wengi wanatamani badala ya kupenda.

Penzi haligawanyiki!
 
Mbinu za kivita na kibaharia
 
Noma sana!
 
Haki tena,nichote na mimi manzee...nita-enjoy venye uko msupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…