Ulipokosea wewe ulitaka kuzaa naye kwanza ndio mjadili suala la NDOA, hebu fikiria dada yangu ndani ya miaka mitano hakuna cha kujitambulisha kwa wazazi, mpaka ndoa hakuna, alafu ukakubali kuzaa naye, umeshaharibu mamaaa sitegemei kama alishindwa kwenda kufunga ndoa wakati hule hamna mtoto, je??? wakati huu mna mtoto. Mwanaume anapokupenda ukiwa bado bint nina maanisha hajakuzalisha hapo ndipo muda wa kumuomba aende kwa wazazi mkafunge ndoa kwa sababu kama amekupenda kwa dhati atakubaliana na wewe kwani atakuwa hataki kukupoteza, Sasa muda huu wewe mama mtoto, majukumu kibao, labda endelea kumbembeleza uenda atakubali.