Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake! Wanawake ndio wanaoongoza kwa kuleta upinzani na vizingiti ktk kufikia usawa wa kijinsia. Ona huyu anasema alizalishwa, jamani hata ng'ombe hawezi kupandwa kama hajapata joto!Atarusha mateke na kukimbia, sembuse binadamu azalishwe!
Inaonekana hata hiyo mimba hamkupanga na kujadiliana pamoja, ulimtegeshea ili ukiwa na mtoto akuonee huruma na kukuoa! Ungekuwa na busara, ungesubiri uolewe kwanza ndipo uzae. Tatizo la dada zetu mnaona kuolewa ni lazima ktk maisha,kiasi kwamba hata yule ambaye hayupo tayari analazimisha ili mradi aondoe "gundu" la u-single! Mwanaume lazima machale yamcheze maana anaona kila siku anakumbushiwa kuhusu ndoa!