Mwanaume kama kichwa cha familia inatakiwa afanyeje?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
1. Awe wa kwanza kuamka na kutengeneza kifungua kinywa.
2. Afanye usafi ili awe kielelezo na mfano bora kwa watoto tulio nao.
3. Awafundishe watoto maadili mema, dini na taaluma pia.
4. Ahudumie familia kikamilifu
************
nyingine naomba muongeze wana harakati wenzangu tuutokomeze huu mfumo dume
 
Nazjaz umenichekesha sana. Wewe mkia unataka kukifundisha kichwa nini cha kufanya.
Sijaku offend nime ku remind status yako tu kwenye ngazi ya familia
 

Mwanaume afanye yote hayo aitwe kichwa cha nyumba
Mwanamke yeye tutamuitaje????
 
mwanamke ni moyo wa familia
 
mwanaume wangu
awe na kazi na awe mzuri kwenye majambozzi
baaaaassssii kazi kwisha

hayo mengine tufanye pamoja
sintopenda mwanume wangu awe kama mwanamke
ntapenda tusaidiane hapa na pale lakini sintopenda
afanye kazi za ndani masaa yote ..uwanaume hapo hauna maana..
 
wakukufanyia hayo yote lbd uwe umemlisha limbwata!!! CPU ninavyomfahamu eti adamke asugue sufuria! dada zake watakutoa nyongo.
 
I love you Afroie!

wakukufanyia hayo yote lbd uwe umemlisha limbwata!!! CPU ninavyomfahamu eti adamke asugue sufuria! dada zake watakutoa nyongo.
Am in love with you Susie!
 

Wengine wanadhani kumrundikia mwanaume kazi zote ambazo huko nyuma ilizoeleka afanye mwanamke basi ndio KUJIKOMBOA aka HARAKATI.
Wanaume wenyewe wa kuoa mpaka utumie darubini ya iliyotumika kumnasa Osama Bin Laden halafu bado eti awe wa kwanza kufanya usafi na kuandaa chai????
 
Mwanaume kama kichwa. Kichwa kina ubongo, macho, masikio, pua na ngozi. Kwa hiyo anatakiwa atumie ubongo ipasavyo, aone mbali, awe msikivu, awe mnusaji mzuri na pia awe anahisi miguso ya mwenza wake. Kwishney.
 
Sasa wakati anafanya usafi na kutengeneza kifungua kinywa,we utakuwa wapi?
unaangalia mechi ya man u na asenali au uko kwenye jukwaa fulani hapa JF?
haileti raha bhanaaaaaaaa......

Mwanaume mwanaume tu
Anapaswa kukusaidi pale inapobidi lakini ukiizidisha hivyo
hata raha ya yeye kuwepo ndani kama mwanaume haitakuwepo.
 
wakukufanyia hayo yote lbd uwe umemlisha limbwata!!! CPU ninavyomfahamu eti adamke asugue sufuria! dada zake watakutoa nyongo.

Wiki hii nzima ukiishiwa na vocha we nibip tu
 

umeonaeeh!!!

wanaume wenyewe wakulenga kwa manati!!! aku mwaya wangu mie hata ndevu nitamnyoa akiwa amelala kitandani!!!
 
ha hahaaaaaaaaa babuuuu!!! nimekumiss sana !!!

Hivi babygirl, si unajua pa kunipata? babu is always there for you......

Kama umesahau, twenzetu PM, watoto bado hawajalala hapa sebuleni.
 
You can say that again!

umeonaeeh!!!

wanaume wenyewe wakulenga kwa manati!!! aku mwaya wangu mie hata ndevu nitamnyoa akiwa amelala kitandani!!!
I will marry you!
 
You can say that again!

I will marry you!

teh teh teh!!! babu maji ya kuoga nitakuchemshia pamoja na iliki na mdalasini!! shuti kukubeba kukupeleka bafuni!!!
 
teh teh teh!!! babu maji ya kuoga nitakuchemshia pamoja na iliki na mdalasini!! shuti kukubeba kukupeleka bafuni!!!

Achana nae huyu Babu Kikongwe, yupo baridi kama Uhai feki. Anatumia tu mbinu ya kusema NTAKUOA kukata kiu yake
 
Nakuonya mara ya mwisho
Achana na huyu binti . . .
We dogo acha mkwara....hebu soma hapa chini, sitaki longolongo.

teh teh teh!!! babu maji ya kuoga nitakuchemshia pamoja na iliki na mdalasini!! shuti kukubeba kukupeleka bafuni!!!

Ngoja niwahi gym nipunguze uzito nisije kumlemea mke wangu mtarajiwa.
 
Reactions: CPU
Hivi babygirl, si unajua pa kunipata? babu is always there for you......

Kama umesahau, twenzetu PM, watoto bado hawajalala hapa sebuleni.

Jaribu uone
Susy, embu rudi chumbani mi bado sija . . . . . cha asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…