Mwanaume kama kichwa cha familia inatakiwa afanyeje?

Achana nae huyu Babu Kikongwe, yupo baridi kama Uhai feki. Anatumia tu mbinu ya kusema NTAKUOA kukata kiu yake

teh teh teh uwiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mie CPU!!!

So what can i do!!! umri unakwenda nimekupigia misele CPU mpaka leo umenitolea nje??
 
We dogo acha mkwara....hebu soma hapa chini, sitaki longolongo.

Ngoja niwahi gym nipunguze uzito nisije kumlemea mke wangu mtarajiwa.

hah haaaaaaaa babu kumbe unakitambiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!
 
We dogo acha mkwara....hebu soma hapa chini, sitaki longolongo.

Nani asome
Umshaandaliwa maji ya mpapai kwenye pipa, kaoge tukufukize na mizoga ya mbu
 
teh teh teh uwiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mie CPU!!!

So what can i do!!! umri unakwenda nimekupigia misele CPU mpaka leo umenitolea nje??

Sijakutolea nje wangu, mi nilikuwa nakutafuta sana
Huyu babu achana nae, ana tumbo limeshuka mpaka mgongoni linaonekana
Yaani akivaa hata ch*** anaichomekea na shati ili mstari wa nyuma usionekane
Kizee cha matatizo hiki
 
Nani asome
Umshaandaliwa maji ya mpapai kwenye pipa, kaoge tukufukize na mizoga ya mbu

We dogo utachonga sana, lakini mtoto atakimbilia mikononi mwa babu. Nani alikudanganya Susy anapenda visharobaro?
 
Reactions: CPU
mambo ya bushoke haya.......
 
We dogo utachonga sana, lakini mtoto atakimbilia mikononi mwa babu. Nani alikudanganya Susy anapenda visharobaro?

Susy hataki vikongwe vyenye matege ya kurudi nyuma
 

mmmh eti darubini ???????????
 


hapo no 1 IWE KILA SIKU?? AU kwa nadra sana, kama ni kwa nadra aah napenda tena sana,ILA Kama ni kila siku SIMTAKI KABISA MWANAUME WA AINA HII.

Hapo kwenye no 2 pia kuna maswali mengi sana, usafi upi? na kwa wakati gani??, kwa mazingira yapi??.

Hapo 3,4 napenda iwe kwa wote ili itumike TUWE, badala ya AWE....

MAJUKUMU YA MWANAUME YANAJULIKANA NA MAJUKUMU YA MWANAMKE YANAJULIKANA, MKANGANYIKO UNATOKEA PALE TU MMOJAWAPO ANAPOTAKA KUCHUKUA MAJUKUMU YA MWENZIE.NA MIMI RAHA NA FURAHA YANGU NI KUONA MWANAUME WANGU ANATIZA MAJUKUMU YAKE YA KIUANAUME, sasa mwanaume ukifanya majukumu yangu mimi nifanye nini??...lol
 
lazima ulikuwa unaota!
 
Mi nakuunga mkono Nazjaz..kweli wanatakiwa wasaidie kazi mwaya. Huku niliko nimeshangaa sana mara nyingi nakaribishwa dinner au launch na baada ya kumaliza wanaume ndo wanainuka kwenda kuosha vyombo. Ni juzi tu nilibaki mdomo wazi baada ya kukaribishwa na couple moja na baada ya kula mkwe (son inlaw)ya ile couple ndo aliinuka na kwenda kuosha vyombo na mkewe amekaa anatia story nami. Je waume zetu wataweza hivyo? si mbaya jamani wanahitaji kubadilika tuachane na ooh sijui limbwata.. tuone ni katika kujaliana na mapenzi tu.
 

Dah mi siwezi kufanya hayo lol
 
sred klosed
 
Mwanaume atabaki kuwa Mwanaume, sipendi wanaume wadhaifu wanaopelekeshwa na wake zao
 

Jamani........... If women labouring in the kitchen and doing house chores, while their men seat, lazying around watching tv ndio standards aka darubini ya kupata waume, then exactly what's the point of us having a PARTNER??.....................Du, I guess I should just kiss goodbye any thoughts of me walking down through the aisle!
 
Usiogope Nemo mtasaidiana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…