Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
We mwenyewe umesema sehem ya Siri tayari inamana ni ya SiriShida wewe unawaza vingine.Unatakiwa uwaze kuwa sehemu ya siri ni sehemu ya mwili kama ilivyo mkona,mguu,jicho ,ziwa nk.Otherwise usimpe mkeo au mchumba mimba
Ukienda hospitali za serikali hasa zile za Wilaya na Mkoa (Rufaa) ndiyo vimejaa hivyo vitoto vya kiume vya field! Ukivikuta vimevaa visuruali mlegezo, na vya kubana!
Kuna wakati mpaka najiuliza hivi miaka ijayo tutakuwa na madaktari wa aina gani! Maana hata maadili ya kazi havina. Ifikie wakati wamama wajawaziti waamzishe tu mgomo wa kuhudumiwa na hivi vitoto vya field.
Hawa watoto wa field ifikie wakati wawekewe mipaka. Maana bado wengi wao wana utoto mwingi.Bibi yangu alikataa kabisa kutibiwa na vijana wadogo hawa wengi wao nidhamu ni 0 kabisa.
Mpo na mtu mzima mnamtibia, kama ndo kuna hao wauguzi wawili hawaachi vistory vyao, ishu ya kumfariji mgonjwa kwao ni changamoto.
Ila pamoja na hayo kumchanja wife hilo hapana aisee, mambo ya operation siyakubali kabisa..
Hahaha mtakomaMimi nitachagua mwanamke amhudumie, huo ujinga unanikera sana.
Nina kaka zangu wawili katika sekta hiyo (mkubwa na mdogo). Sasa bro mkubwa yeye yupo kwenye ealy 30s ameshajitambua, akifanya mambo hayo humsikii akitamba na anaheshimu kazi yake. Shughuli ipo kwa dogo (early 20s), linasimulia linavyofurahia zoezi na huwa linadinda kabisa, wagonjwa wasio na waume huwa wengi wanaacha namba za simu na wanaishia kuliwa. Dogo likisimulia huwa nacheka ila moyoni naona kabisa siwezi kuhimili upuuzi huo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mgonjwa ukikataa kuhudumiwa na hivi vitoto vya field, madaktari halisi watakuhudumia tu. Ila ukiwa mpole, ndiyo vitakuja kukuzunguka na kukugeuza kuwa darasa lao la kujifunzia.