Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mkuu nani kakupa mamlaka ya kimiliki kanisa kwa mjibu wa maandiko kanisa ni mali ya Mungu alielinunua kwa damu ya thamani sana zaid ya fedha na dhahabu.. Nina wasiwasi na huduma yako uko kimasrahi zaid na walewale wachungaji wa mishahara.
Hahahahahahah....hapana mkuu si unajua tena mambo ya kiroho halafu na changamoto zilizopo kwa sasa? lazima pia na ubunifu ufanye kazi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…