Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
Katika harakati za kujipanga na kujiandaandaa,mwanaume kukaa kwa dadako aliyeolewa, wengi hawapendi na jamii inamchukulia kama "he is not man enough"yuko tayari kuishi hata kwa rafiki kuliko kwa dada yake, kwanini huu mtizamo upo??