Mwanaume kukaa kwa dadako ....!

Mwanaume kukaa kwa dadako ....!

Safety last

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
4,236
Reaction score
1,411
Katika harakati za kujipanga na kujiandaandaa,mwanaume kukaa kwa dadako aliyeolewa, wengi hawapendi na jamii inamchukulia kama "he is not man enough"yuko tayari kuishi hata kwa rafiki kuliko kwa dada yake, kwanini huu mtizamo upo??
 
Nani kakudanganya?!

Labda kama umri wake umevuka 25-27 umri ambao anatakiwa awe na kazi.Ila chini ya hapo sio vibaya kwasababu wengi wanakua wanasoma kwahiyo badala ya kupanga wakati hana mshahara anakaa kwa dada vile yuko karibu.
 
Dada umeolewa na wewe mtoto wakiume ushafikia umri wakujishughulisha unajipweteka kwa shemeji inaonyesha kama mmeolewa nyote,,
 
Nani kakudanganya?!<br />
<br />
Labda kama umri wake umevuka 25-27 umri ambao anatakiwa awe na kazi.Ila chini ya hapo sio vibaya kwasababu wengi wanakua wanasoma kwahiyo badala ya kupanga wakati hana mshahara anakaa kwa dada vile yuko karibu.
<br />
<br />
sijadanganyika mpendwa ni mambo nimeyashuhudia hata kwa hao unaosema ni wanachuo wengi hawako huru, ni kama huyo mmeo kawaoa wote.
 
huwezi kuwa huru kwa watu! kama una sababu ya msingi ya kukaa kwa dadako na shemeji yako hakuna tatizo. ila shida ni kujibweteka. tafuta kazi kwa bidii na uwaoneshe kuwa ww sio mzigo. wapo vijana wanakaa kwa dada zao wakipata kazi na kuondoka hata shemeji yao anasikitika kwa jinsi ambavyo watammisi. ila kama kijana ni mtu wa kusalandia hgeli, hajitumi kusaidia issue ndogo ndogo walau kupeleka magari ya watu gereji na kusimamia mafundi, au kama sio muaminifu, siku akiaga kila mtu anashusha pumzi. ugali wa shkamoo shurti uutumikie atii!
 
huwezi kuwa huru kwa watu! kama una sababu ya msingi ya kukaa kwa dadako na shemeji yako hakuna tatizo. ila shida ni kujibweteka. tafuta kazi kwa bidii na uwaoneshe kuwa ww sio mzigo. wapo vijana wanakaa kwa dada zao wakipata kazi na kuondoka hata shemeji yao anasikitika kwa jinsi ambavyo watammisi. ila kama kijana ni mtu wa kusalandia hgeli, hajitumi kusaidia issue ndogo ndogo walau kupeleka magari ya watu gereji na kusimamia mafundi, au kama sio muaminifu, siku akiaga kila mtu anashusha pumzi. ugali wa shkamoo shurti uutumikie atii!
Hili nalo neno, sio unakaa kwa watu remote zote umeshikilia wewe, watoto wao wanataka cartoon network wewe ss3, kwako???
 
Hamna kitu nachukia kama kukaa kwa watu, nashukuru nimezoea kujitegemea toka nasoma. Wengi wanapenda mteremko, na ndiyo maana ukipata kazi mkoa wa mbali na ulipo, utaulizwa "una ndugu huko?", ndugu for what?
 
Nani kakudanganya?!<br />
<br />
Labda kama umri wake umevuka 25-27 umri ambao anatakiwa awe na kazi.Ila chini ya hapo sio vibaya kwasababu wengi wanakua wanasoma kwahiyo badala ya kupanga wakati hana mshahara anakaa kwa dada vile yuko karibu.
<br />
<br />
what about the 27+, ruksa??
 
Nani kakudanganya?!

Labda kama umri wake umevuka 25-27 umri ambao anatakiwa awe na kazi.Ila chini ya hapo sio vibaya kwasababu wengi wanakua wanasoma kwahiyo badala ya kupanga wakati hana mshahara anakaa kwa dada vile yuko karibu.

mashemeji ndiyo huzima taa........kwa kuchongea ndiyo wenyewe...................yupo mdada mmoja alilalamikiwa na mtoto wake wa kike ya kuwa baba mdogo alikuwa anamshikashika nyeti zake yule mama alilia sana lakini akaogopa kumtonya mumewe kwa kuhofia kugeuziwa kibao...................kuwa anamchukia shemejiye na kuwa anamjengea mazingira ya kumtimua mdogo wa mumewe.............................watu wajenge mazingira ya kujitegemea tu hakuna suluhishi hapo...........
 
mashemeji ndiyo huzima taa........kwa kuchongea ndiyo wenyewe...................yupo mdada mmoja alilalamikiwa na mtoto wake wa kike ya kuwa baba mdogo alikuwa anamshikashika nyeti zake yule mama alilia sana lakini akaogopa kumtonya mumewe kwa kuhofia kugeuziwa kibao...................kuwa anamchukia shemejiye na kuwa anamjengea mazingira ya kumtimua mdogo wa mumewe.............................watu wajenge mazingira ya kujitegemea tu hakuna suluhishi hapo...........
hapo umenena, hakuna kitu kibaya kama utegemezi kwani uhuru haupo na unakaa ukiishi kimachale.
 
Katika harakati za kujipanga na kujiandaandaa,mwanaume kukaa kwa dadako aliyeolewa, wengi hawapendi na jamii inamchukulia kama "he is not man enough"yuko tayari kuishi hata kwa rafiki kuliko kwa dada yake, kwanini huu mtizamo upo??
Mimi nafikiri hapa tuzungumzie pande zote mbili, yaani mwanamke/mwanaume kukaa kwa dada/kaka yake aliyeolewa/oa, ukifanya utafiti utagundua ndoa za aina hii mara nyingi ugomvi hauishi, mashtaka kibao kila siku. Ila mtu akae kwa kaka/dada yake kwa malengo jamani, mfano mtu ana miaka 27.... yupo tuu kwa dada/kaka anakula anaamka, na mkienda kazini yeye ndiye ana-control almost kila kitu hapo kwenu hadi watoto wanajenga chuki dhidi yake. Mtu akikaa kwa malengo kama shule kutafuta kazi mimi sioni kama ni tatizo lakini kukaa tuu yaani kkb (kula, kulala, bure) hapo hata akili ya kujitafutia haitakuwepo coz kila kitu anapata bure anashtuka ana miaka 33 au 35!!
 
Katika harakati za kujipanga na kujiandaandaa,mwanaume kukaa kwa dadako aliyeolewa, wengi hawapendi na jamii inamchukulia kama "he is not man enough"yuko tayari kuishi hata kwa rafiki kuliko kwa dada yake, kwanini huu mtizamo upo??

Sasa haya ni mausi ya rejereja, kwa taarifa yako, wengi wetu humu jamvini tumesoma kwa njia hiyo na kauli kama hizi zinatukera sana, hasa yule jamaa 'Mkandamizaji' wa Ze komedi hupenda kurudiarudia haya maneneo.
 
Dada umeolewa na wewe mtoto wakiume ushafikia umri wakujishughulisha unajipweteka kwa shemeji inaonyesha kama mmeolewa nyote,,
<br />
<br />
hili swala ni gumu sana je kwa wale wanaosomeshwa nao wameolewa au ni wale kamaliza kusoma halafu bado king'ang'anizi..
 
mimi nilikataa hii kitu toka zamani sana ,,,,maana toka asubuhi wewe ni mtu wa kushukuru tu..karibu chai..karibu chakula....karbu maji ya kuoga...washa tu tv.....na vyote unasema asante........hayo sio maisha......
 
Back
Top Bottom