Ahahahahahahahah Jaribu kuzoea basi taratibu kushikwa kiuno. Anyway mwanamke utamruhusu akushike kiuno???
Sijui ugumu unatoka wapi. Ila kwa suala la kukumbatiana hiyo ipo.
Kuna bro wangu mmoja huwa akitumiwa msg na rafiki yake anatanguliza neno dear. Sometimes anamwambia dear nimekumiss.
Bro hapendi halafu ni mshkaj wake wa siku nyingi.
Na nyie wengine hampendi au?
Ahahah au dume mbili kuoga bafu 1 . . .
Jaba-li said:Mbona mabinti wanashikana?jamani bwebwe sa we ulikuwa unadhani si twajua kuwa ki biology wakike na kiume ni sawaa:teeth::teeth::teeth:Kwa wanaume inasababishwa na sababu za kibaiolojia,saikolojia,kigenetiksi na hata mazoea. Pia biologically wanaume ni tofauti na wanawake. So hata tabia na mienendo yao ni wazi itakua tofauti.
Sijui ugumu unatoka wapi. Ila kwa suala la kukumbatiana hiyo ipo.
Kuna bro wangu mmoja huwa akitumiwa msg na rafiki yake anatanguliza neno dear. Sometimes anamwambia dear nimekumiss.
Bro hapendi halafu ni mshkaj wake wa siku nyingi.
Na nyie wengine hampendi au?
Kaka nimetoa angalizo hapo chini ubaya sitaki nitakuvunja kiuno
Kule kwenye Basketball na American football, wanashikana mpaka makalio...! Wakati wakipongezana... hii nayo vipi?
Yaani mimi hata kushikwa mabega sitaki kabisa, ila mikono ya mwanamke aah hewala sana tu, ila nae haruhusiwi kunishika mata.k.o. atakuwa amenidhalilisha.