Mwanaume kunyonya....!!!

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Eti mila potovu Tanzania zawanyima watoto haki ya kupata lishe ya maziwa ya mama, je wanaume wanapaswa kunyonya maziwa ya wake zao wakati wakiwanyonyesha watoto?? Mila za wanaume kunyonya maziwa zimepitwa na wakati

Kuna mjadala huu nimekutana nao kuleeee...ngambo ambao umejikita zaisi katika maandiko: Je ni ruksa??

 
sijaelewa na sitaki kuelewa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…