Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
hata si shangai kuna jamaa yangu mmoja aliniambia nimfanyie mchezo huo,nilimpiga mingumi hadi leo hana hamu na mie na urafiki ulikwishia bar.
Boflo uko serious mtu anaweza kula chakula fulani akahitaji kuingiliwa kinyume?
replies in blueHali ya ushoga inasababishwa na
1-vyakula tunavyokula fafanua pliz hii sijawahi sikia
2-shinikizo na promotion from developed countries LOL
3-utandawazi NO
4-zama hizi no real love btn he & she......cash matters na mashoga wengi wanakuwa na true love na wivu wa kupindukia y u think SSC wana true love compared to OSC
sure.....baada ya miaka 3 Tanzania kutakuwa na mashoga zaidi ya 50%
Jukwaa hili siruhusiwi ww twende lile la Mambo ya K. nitakuelewesha kwa nini hivi vitu viko ki-Kanda Pwani na kurudi kinyumenyume, Kanda ya Ziwa na Kunyanzi (kanchabari/kater***) Kanda ya kaskazini ww jipakulie, Kanda ya Kusini ww nitume pesa sio Mkeo nkKwjnini wa Pwani?