Jaman tuwasaidie hawa watu hata kwa mawazo, kuna rfk yangu ana mpenzi wake kuna siku walifanya mapenzi na baada ya siku mbili mwanaume alianza kutokwa na kitu kama usaha sehemu za siri na alienda hospital akapewa dawa na dada nae alienda hospital akaambiwa atumie dawa zinazoitwa CIPROFLOXACIN. swali ni kwamba huo ni ugonjwa gani na hiyo dawa aliyoambiwa atumie ni dawa sahihi. Dada bado ana wasiwasi na afya yake.