ulimtest i mean ulimpima oil??lazima huyo ni shoga
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za mguuni...anyway kwa upande wa kwetu kimaadili ningeweza kusema mtu wa pemba lakini sasa kijana amekuja anapita kalewa kihereni mguuni nikasema niombe msaada hata siku nyingine nisije uliza kumbe utajiri wa mtu.........uko miguuni mwake...ama ndio fasheni watanzania...
Mjibu kwanza swali lake kuvaa shanga au hereni miguni kwa mwanaume maana yake nini.Sweetbaby, Give me a brake!... nnaona sasa itabidi tukuite sweatbaby maana unachemsha kinoma.. hivi kuna hereni za mguuni? zinavaliwaje hizo? kikuku mi kwa upewa wangu mdogo najua ni shanga inayovaliwa kwenye mguu.. sanasana mguu wa kushoto.. Ulikuwa unamaanisha hivi au ni tofauti? Au huyo kijana alikuwa ametoboa vidole vya mguuni ili kuvisha hizo hereni?
Nadhani atakuwa kaka poa sio vinginevyo,
Sweetbaby, Give me a brake!... nnaona sasa itabidi tukuite sweatbaby maana unachemsha kinoma.. hivi kuna hereni za mguuni? zinavaliwaje hizo? kikuku mi kwa upewa wangu mdogo najua ni shanga inayovaliwa kwenye mguu.. sanasana mguu wa kushoto.. Ulikuwa unamaanisha hivi au ni tofauti? Au huyo kijana alikuwa ametoboa vidole vya mguuni ili kuvisha hizo hereni?
Limbukeni tu hana lolote mambo ya kuiga tu hayo!Mjibu kwanza swali lake kuvaa shanga au hereni miguni kwa mwanaume maana yake nini.
Sweetbaby, wakati wewe unamshangaa huyo, mimi nimekutana na mwanaume, amevaa hereni ya kung'ing'inia kabisa, ya urembo. Bahati mbaya sikuweza kuona upande wa pili kama kavaa. Ila kwa mavazi alikuwa amevaa kama mwanaume wa kawaida kabisa.
Dunia imekwisha dadangu. Uliona lile busu la Adam Liston kwenye American Music Awards?
Ni kumuomba Mungu tu sasa
hIVI WANAWAKE WANAOVAA HIVYO VIKUKU NI KAWAIDA AU INAMAANA NYINGINE? MSAADA TAFADHALI....
Sweetbaby, wakati wewe unamshangaa huyo, mimi nimekutana na mwanaume, amevaa hereni ya kung'ing'inia kabisa, ya urembo. Bahati mbaya sikuweza kuona upande wa pili kama kavaa. Ila kwa mavazi alikuwa amevaa kama mwanaume wa kawaida kabisa.
Dunia imekwisha dadangu. Uliona lile busu la Adam Liston kwenye American Music Awards?
Ni kumuomba Mungu tu sasa