Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za mguuni...anyway kwa upande wa kwetu kimaadili ningeweza kusema mtu wa pemba lakini sasa kijana amekuja anapita kalewa kihereni mguuni nikasema niombe msaada hata siku nyingine nisije uliza kumbe utajiri wa mtu.........uko miguuni mwake...ama ndio fasheni watanzania...
Kwa mwanamke kuvaa kikuku ni sehemu ya urembo tu, haina maana mbaya.
Attorney general (AG) wa kenya naye anavaa hereni kama kawaida acha kuhema weweWewe umeelewa isipokuwa unataka kurefusha tu mazungumzo. kwa kifupi mwanamume kuvaa heleni sikioni au kikuku mimi kwangu wote ni wachumba tu.(hii nayo ya wachumba utailetea ubishi?). Mambo ya kuiga iga utamaduni mchafu wa baadhi ya watu wa magharibi eti kwa kisingizio cha duni kuwa kijiji kimoja ni upumbavu. Toka enzi za mababu mwanume ana features ambazo zinamtofautisha na mwanamke ukiachilia mbali tofauti za kiorgan. Lakini sas hivi mpaka mtangazaji wa tv mwanaume unakuta kavaa helen
Attorney general (AG) wa kenya naye anavaa hereni kama kawaida acha kuhema wewe
jamani dhana ni mbaya haifai mtu kumdhania mtu mambo maovu kwa mfano angalia hii picha kwa nyiyi mnao ishi nje ya tz mambo kama haya huko hutafsiriwa vingene, sasa na huyo aliyevaa hicho kidude mguuni inawezekana anakotoka ni jambo la kawaida na hapa tz tunatafsiri vingine,kwani hata bodylanguage yao inakupa muhafiliko ,lakini kusema hiyo haina maana hawa viongozi wetu ni miongoni mwa kundi lile linalotetewa na wazungu.
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za mguuni...anyway kwa upande wa kwetu kimaadili ningeweza kusema mtu wa pemba lakini sasa kijana amekuja anapita kalewa kihereni mguuni nikasema niombe msaada hata siku nyingine nisije uliza kumbe utajiri wa mtu.........uko miguuni mwake...ama ndio fasheni watanzania...