Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Nilikuwa nimesiti zangu sehemu fulani hapa katikati ya jiji. Pembeni yangu kulikuwa na majamaa wawili walikuwa wamekaa pia sasa mmoja nikasikia anamuuliza mwenzake kwamba "vipi mbona unavaa shanga", nikawa nimetulia zangu kimya nikiwasikiliza kwa makini hasahasa nisikie jibu atakalolitoa.
Yule jamaa akamjibu kama ifuatavyo, nanukuu "" mie navaa shanga kwa sababu mademu wanapenda sana mwanaume aliyevaa shanga yaani wanavutiwa sana na wanakuwa na hisia nzito kwenye suala zima la mnyanduano"" .hakuishia hapo akawa anamuelezea kwamba "" unajua bhana hawa watoto wa kike wanapendaga tuvitu vidogodogo sana sasa mie nishawajulia navaaga hii nikishamla anakwenda kuwahadithia wenzake na wao wanajilengesha nawala vilevile so huu ni kama mtego"". kwa maelezo hayo yule mwenzake alionekana kukubali na aliahidi na yeye kuanza kuvaa ili awatege manzi.
Sasa je wadau imekaaje hii ? maana mie nilikuwa sijui kwamba ukivaa shanga mademu wanapenda..kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Yule jamaa akamjibu kama ifuatavyo, nanukuu "" mie navaa shanga kwa sababu mademu wanapenda sana mwanaume aliyevaa shanga yaani wanavutiwa sana na wanakuwa na hisia nzito kwenye suala zima la mnyanduano"" .hakuishia hapo akawa anamuelezea kwamba "" unajua bhana hawa watoto wa kike wanapendaga tuvitu vidogodogo sana sasa mie nishawajulia navaaga hii nikishamla anakwenda kuwahadithia wenzake na wao wanajilengesha nawala vilevile so huu ni kama mtego"". kwa maelezo hayo yule mwenzake alionekana kukubali na aliahidi na yeye kuanza kuvaa ili awatege manzi.
Sasa je wadau imekaaje hii ? maana mie nilikuwa sijui kwamba ukivaa shanga mademu wanapenda..kuna ukweli wowote kuhusu hili?