Mwanaume kwenda kulala kwa demu.

hebu tuondoleee upup wako hapa maana ushaanza kuwahs tu.....................
 
Labda unalala tu na kuondoka haachi matumizi wala hapaboreshi hapo geto ye ni kulala asubuhi kuondoka.embu aanze kutake care aone demu atakuwaje
 
Chukua ushauri huu peke yake japo umechelewa na ingawa nii wa kiufahamu zaidi:-Kama anahitaji kuwa na maisha mafupi aendelee kulala kwa mwanamke!!Mwanamke ni mwerevu kama nyoka ingawa kuna wakati anafeli.Maana yangu ni kwamba wanawake wameumbwa kudanganywa na kuhadaika na wao wanatumia advantage hiyo kuwadanganya na kuwateka wanaume!!!Mantiki ni hii:
1.Asimuamini mwanamke moja kwa moja kwamba yuko peke yake!Hana uhakika huenda kama kuna njemba mwingine ana uhusiano na mwanamke na huja kulala hapo.Siku akikutwa kalala hapo na mwenyewe kaja kulala nadhani outcome ni ugomvi na kuchomana visu.
2.Huenda hata kitanda kimenunuliwa na njemba mwingine.
AACHE STAREHE KTK MAZINGIRA HAYO ATAJUTA
 
very good comments
 
Mi sioni tatizo la jamaa kulala kwa demu wake kama wanapendana na wanakubaliana vizuri (hususan kama jamaa ana sababu za msingi za kutoweza kuwa na kwake). Ila tu wanaume tuna tabia ya kujistukia na kutokujiamini na ndo maana pengine huwa tunaogopa wanaume wengine wenye vipato zaidi yetu kuwa wanaweza kutuchukulia wapenzi wetu. Siku hizi sio kama zamani au sio kama ule utamaduni ambao mwanamke ni mama wa nyumbani tu na anasubiri kila kitu afanyiwe na mwanaume. Ila point ya msingi ni kuwa huyo mwanamke kumweleza jamaa ukweli kuwa labda hataki kulala naye kwa kuwa hataeleweka vizuri wakiwa bado hawajaoana. Na kama hayuko wazi basi huyo mwanamke lazima atakuwa na jamaa mwingine tu ambaye pengine ndo huwa analetwa hapo nyumbani.
 
Usawa udumishwe kwani tatizo liko wapi? si mnasema wanawake wanaweza si ndio kuweza kwenyewe huko ama?!!
 
Husninyo heshima ya mwanaume pesa ndugu yangu ndevu ni urembo ..

YAni upo sawa mno mno...mwanaume sio kuvaa suruali jamani!!!!
ni capital project na lazima ionyeshe cash flow kabla ya kukubalika....haahahhhaaa
 
Usawa udumishwe kwani tatizo liko wapi? si mnasema wanawake wanaweza si ndio kuweza kwenyewe huko ama?!!

mmh jamani na wewe umesahau msemo unasema hivi....wanawake wanaweza WAKIWEZESHWA(wawezeshaji=wanaume=wenyepesa)
sa tutawezeshwa vip na wasio na pesa????
 
Huyo rafiki yako anajitoa muhanga! He is ready to die for his girlfriend! If not, tell him to stop this habit before things get worse!
 
nampa big up huyu dada naona anatunza heshima zaidi hakuna cha zaidi.mwanaume amtembelee hapo sawa lakini kuchakachuana hapo hapo siafiki sana ingawa wanatenda dhambi watafute hotel sio hadi kulala ebo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…