Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Me tall aisee,ila tuwapende na wenzetu..[emoji2] [emoji123]Hahaaa. Usijali Kaka ake.
Kumbe na weye mrefu mwenzangu. Safi sana.
Hahaaa. Kabisaaa. Tuwapende tu kwa kweli.Me tall aisee,ila tuwapende na wenzetu..[emoji2] [emoji123]
Teh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Swahiba nimecheka na mie jamaani lol.
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
tumekusamehe sababu umejua kuomba msamaha.Nadhani ni zile tabu zao sababu wengi wanasifika ni watata balaa na hawajiamini pia kutokana na ufupi wao.
(Wafupi mnisamehe)
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] kwa kuwa na wewe Kaka ni mfupi naomba nirudie kuomba samahani kwa kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23]tumekusamehe sababu umejua kuomba msamaha.
(mw/kiti wa wanaume wafupi.)
asante dada,[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] kwa kuwa na wewe Kaka ni mfupi naomba nirudie kuomba samahani kwa kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila Duuh! Sitaki kuamini kwa kweli lol.
[emoji120] [emoji120]asante dada,
itabidi uamini tu
asante dada,[emoji120] [emoji120]
Itabidi kwa kweli. Haya uwe na asubuhi njema kaka yangu Mfupi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji50] [emoji50] kakubananishajeWalahi vile Swahiba umejua kunibananisha leo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Hujaliona Swali lenyewe kwani?[emoji50] [emoji50] kakubananishaje
Mimi mrefu kotekote mpendwaHahahaaa. Hujaliona Swali lenyewe kwani?
Au na weye mfupi nini?
Yiiiii[emoji15] [emoji15] [emoji7]Mimi mrefu kotekote mpendwa
Habari mshikiYiiiii[emoji15] [emoji15] [emoji7]
Lini sasaWewe kama ni mfupi usiogope utapata tu muda ukifika.
Aiseee!!Nawapenda ila si sana maana mie ni mrefu.