Hiyo wowowo utakosaje mume kwa mfano!Ila Raha sana wanawake wafupi tunaolewa tu na wanaume warefu
Doh!Hiyo wowowo utakosaje mume kwa mfano!
Hata ikitokea umeachika leo usiku mimi nakuoa kesho asubuhi [emoji4]Doh!
M/kiti una cm ngapi vile?[emoji12]tumekusamehe sababu umejua kuomba msamaha.
(mw/kiti wa wanaume wafupi.)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii picha imenikumbusha katuni ya mr.Tolu
moja na nusu tuM/kiti una cm ngapi vile?[emoji12]
Ooh kumbe mrefu, mimi nilidhani una robo cm![emoji12]moja na nusu tu
hakuna mwenye robo cm ndio maana nimepewa uenyekiti hapaOoh kumbe mrefu, mimi nilidhani una robo cm![emoji12]
Hahahaha ate kumbe ife ni wa tarakea [emoji23]Ngatekwa dovaita kumbe ife ni msero
Mimi ni mfupi, feet 5.1 nina binti mrefu, ananipenda na matarajio yetu ni kuoana. Amenifanya niwe mwenye ujasiri. Upendo hauangalii, kimo au umri, ni kumpata tu mtu sahihi kwako. I can stress her, she can come down, sina hela, bado nina hustle but she encourages me na nafurahia kuwa katika mahusiano nae. So i will marry a tall Lady regardless my small height.
Duuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu kazidi
Ehe lau ini ni wa useri
Kwa iyo unaji proudIla Raha sana wanawake wafupi tunaolewa tu na wanaume warefu
Ngoja nifanye vituko kwa huyu Baba chanja..nione kama kweli kesho asubuhi utanioaHata ikitokea umeachika leo usiku mimi nakuoa kesho asubuhi [emoji4]