Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
hehehehehe kwangu si mpya hii lakini kila nikimuona huyu babu subhanallah na mtangazaji wa kiume alipat hehehehe lol......kila saa amuliza hivi kweli we sex mara 15 kwa siku... na wapata kweli muda...... heheheheh yaonyesha hiyo ilimgusa kweli kweli... shukran abuy allah kareem..
Umeona eeh NR hahahahahahah Njemba mtangazaji alikuwa haamini ikabidi aulize tena kama kweli jamaa inapiga 15 kila siku LOL! Mtangazaji labda akipiga goli zake mbili au tatu kwa wiki katosheka sasa anafikiria jamaa anayepiga goli 15 kwa siku au 105 kwa wiki hahahahahah! LOL!
dah....huyu jamaa si hata risasi inadunda pale?......l.o.l
Je anatafuta mkewingine
hamuoni hizi ni ndoto tu?