Mwanaume mwenye nguvu za ajabu

dah, yaani wachangia mada wote wamegusia hili la sex mara 15, lakini kuna la kupidisha sarafu kwa kuikandamiza jichoni sijui hili sio la ajabu kama nionavyo mimi au ndo kusema JF:Ngono kwanza.
 
Nchi zenye wanawake wengi kama ya kwetu inabidi zipate watu wengi kama hawa ili kupunguza nyumba ndogo....
yani hapo ni kupokezana tu mpaka kunakucha...kama mpo lindoni vile
 
Hao wanawake ni kiboko maana sipati picha jamaa anapokuwa kazini inakuaje hasa pale mechi inapokuwa imekolea
 
looh haya ni maajabu ya dunia anafaa kuwekwa kwenye kwenye kumbukumbu za dunia:coffee:
 
dah, yaani wachangia mada wote wamegusia hili la sex mara 15, lakini kuna la kupidisha sarafu kwa kuikandamiza jichoni sijui hili sio la ajabu kama nionavyo mimi au ndo kusema JF:Ngono kwanza.

Nafikiri ukiingia kwenye hili jukwaa mawazo yote yanakuwa upande huo zaidi. Mi bado nafikiria akichelewa nyumbani kwake akagonga mlango kwa kidole, mlango si unavunjika? Au akienda kwenye ATM zetu zinazosumbua kutoa hela, anaweza akakasirika alafu akaivunja mashine na kutoa hela anazotaka kwa mikono
 
Mi niko kama tomaso, mpaka nimuone ndo ntachangia.
 
Hadithi ndhiriii kakufundisha nani?:laugh: :laugh: :laugh:
 

Haaahaaa! Huyu baba aje Tanzania kutoa misaada ya waliozidiwa hata na mke mmoja maana idadi yao inaongezeka. Watu wanakuwa wanywaji ili wasiende kuulizwa ile kitu inakuwaje
 
looh haya ni maajabu ya dunia anafaa kuwekwa kwenye kwenye kumbukumbu za dunia:coffee:

Anafaa kuja Tanzania mara moja kuokoa jahazi maana wanaume wengi hata mke mmoja ni issue. Kweli tutapata mkombozi
 
duh ,ningepata robo tu yahizo......

hasa za kitandani......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…