Mwanaume mwenye nguvu za ajabu

Hili ni swali muhumu sana mkubwa, wala hawa waandishi hawajamuuliza anaishije bila kufanya kazi. Halafu ikitokea siku moja wake zake wote wameenda kusalimia Mars anafanyaje?

Labda madaktari wanasaidia hilo lisitokee. Mars aende mmoja mmoja
 

Kwa mtaji huu, nadhani hata Muhammad (SAW) haoni ndani....
 

Huyu mtu ni mpuuzi sana hata kama ana nguvu hizo!
Anaweza kutueleza yeye mchango wake apa duniani ni nini kama hafanyi kazi ( kakatazwa na daktari) hapeani mikono na mtu mkono kama salama maana atamvunja vidole! Je anapokukuruka na hao wakeze kwenye hizo raundi 15 HAJAWAVUNJA MBAVU, KIUNO, ??? AU ANAPAISHA JUU KWA JUU? Angesema anatumia style gani asiwavunje!
SIMPLY STUPIDITY!
 
The only mission he has ni sex tu? what a waste! Ningekuwa kwenye serikali ningeamuru awe crane, catterpilar, buldozer..afanye kazi ngumu hadi akome!Hizo nguvu anazojidai nazo ningezikomesha ili awe na manufaa kwa jamii! hao wake zake wanne ukiwaangalia wanaonekana kuogopa sana..hao alishaoa mara 28! Huyu ni mdhalilishaji tu hana lolote!
 

hahahahhaha lol
kweli Tausi umenichekesha sana my dear..
duuuhh kazi anayo lol
 
ivi kweli bado mnaamini huyu mtu ni binadamu wa kawaida?
Kwa nini asijiweke kwenye guinness world records ambapo atakubali kupimwa na madaktari?
HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUISHI BILA KULALA! Unakufa haraka kwa kukosa usingizi kuliko kwa kukosa mlo - scientific fact!
wabongo ni wavivu wa kufikiri kweli. this is simply not possible!!
 
1. Vipi kuhusu msosi?
2. Kama hafanyi kazi, anapataje mahitaji yake?
3. Vipi ana watoto ili tukachukue mbegu? Mie nahitaji ka kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…