Mwanaume na mwanamke, nani mjanja katika mahusiano?

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,638
Mimi binafsi nimekuwa naona wasichana ninaokuwa nao kimapenzi ni wajinga mbali na hapo hata wanaonizunguka yaani akili zao sijui zinakuwaje yaani nafurahi ninavyowafanyia kuwadanganya alafu akinipenda naanza vituko alafu namuacha, yaani akinililia nasikia raha alafu mimi nafukuza tu sitaki mazoea, acheni tu kuwaumiza wasichana raha sana imekuwa ulevi wangu alie pamoja na mimi big up sana.
 
Dogo umeandika upumbavu.
 
Hayupo aliyewahi kuwa mshindi wa mapenzi, ni kuzidiana ujanja tu.
By the way usijione mjanja saana, iko day yako utajuta kuzaliwa.
Mie sikuungi mkono kabisa.
 
siku ukipalamia mke wa mtu ukadakwa ndo utajua nani mjanja na mjinga.
 
Wewe jaribu kufikiria tu kwamba kati ya mwanaume na mwanamke nani anamtongoza mwenzake hadi anaingia kingi ndio utajua mjanja ni nani, …!
 
You are a sadist. How can you make hurting people your hobby? I hope ladies have heard you and they will never come close to you. Secondly, calling them stupid doesnt make you intelligent instead it shows lack of manners on your part so, you are the stupid one.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…