Mwanaume ni lazima ukunje ngumi kwa mkeo?

wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......

baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....

Inawezekana una ukweli GodFather..lakini mambo ya kupigana hayafai :crying:
 
halafu wakishadundwa,unawaambia dai talaka.hawataki......
kudundwa wanadundwa na kuachwa hawataki

Haha hahaha talaka ya nini na wewe mambo ya ndani ya house bwana yanachekesha sana :A S-confused1:
 
Haha hahaha talaka ya nini na wewe mambo ya ndani ya house bwana yanachekesha sana :A S-confused1:

Nielewavyo mm mwanamke akidundwa ndo anazidisha penzi kwa mmewe...kama unabisha kwa nn mwanamke akidundwa na kuumuliwa manundu utakuta akipona tu wapo nae wanakula bata ndo kwanza mashow love kama kawa.
 
kweli kuna wanawake wanapata shida. inaanzaje mpaka upigwe? kwangu mm ile cku atakayonyanyua mkono kunipiga yani hiyo ndo talaka yangu.
Wapendwa... wanaopigwa nao walikuwa na mawazo hayo hayo... waulizeni ikawaje? ( this is a universal problem..wanaopigwa hawasemi na wanaopiga nao hujifanya hawapigi!)
Kuna wanaume nao huwashangaa wanaume wenzao wanaopiga wake au wapenzi wao ilhali nao kutembeza mkono ni wepesi sana!

Ukienda polisi nako kwa vile polisi hao hao hupiga wake zao, watakurudisha ati mkayasuluhisha nyumbani ni mambo ya kifamilia! MAKUBWA HAYA!
 
wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
Wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......

Baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....

kama wapo nawapa pole.
 


your avatar speaks volumes!!!
 
wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......

baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....
Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.
 
Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.

Never say never....
 
Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.
mpwa kumbe we ni kijana mdogo kabisa?!...
tisini ulikuwa shule bado?:bounce::bounce::bounce:
 
hivi umeolewa lakini?
Yawezekana ww ndo huwa unampiga mr. Wako wapo wanawake wa design hii pia.

nimeolewa, na watoto juu! Hee kumbe na wanaume wanapigwa? Haya dunia duara
 
kwani we tisini hukua shule?
sasa kama swali langu kwa charity unajibu wewe....
na je nikikuuliza wewe?
back to topic:tisini mi nilikuwa kazini muda mrefu tu
 
sasa kama swali langu kwa charity unajibu wewe....
Na je nikikuuliza wewe?
Back to topic:tisini mi nilikuwa kazini muda mrefu tu

hongera, sorry!
 
Kuna mke wa mtu alikuwa anapigwa na bwana wa nje...
Wakati mumewe hampigi....na bwana wa nje hamuachi...
Wanawake bwana.............
 
Kuna mke wa mtu alikuwa anapigwa na bwana wa nje...
Wakati mumewe hampigi....na bwana wa nje hamuachi...
Wanawake bwana.............
This is the worst scenario.....mke anapata manundu toka kwa hawara......
Guesswork: mke ni mzaliwa wa kure kure kwetu poti.....
 
sasa kama swali langu kwa charity unajibu wewe....
na je nikikuuliza wewe?
back to topic:tisini mi nilikuwa kazini muda mrefu tu

Location ZERO_PUB/ETIEENS/WHY NOT PUB/OCEANIC HOTEL

Mzee hivyo viwanja noma duhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…