FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......
baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....
halafu wakishadundwa,unawaambia dai talaka.hawataki......
kudundwa wanadundwa na kuachwa hawataki
Haha hahaha talaka ya nini na wewe mambo ya ndani ya house bwana yanachekesha sana :A S-confused1:
Wapendwa... wanaopigwa nao walikuwa na mawazo hayo hayo... waulizeni ikawaje? ( this is a universal problem..wanaopigwa hawasemi na wanaopiga nao hujifanya hawapigi!)kweli kuna wanawake wanapata shida. inaanzaje mpaka upigwe? kwangu mm ile cku atakayonyanyua mkono kunipiga yani hiyo ndo talaka yangu.
wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
Wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......
Baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....
nimesahau miwani yangu!!emergency.......shida kwisha...........kachoka.........
Vinaunganika kweli???
Any way, naamini 70% of men have at one point, attempted or slapped a woman - slap, sio mangumi!! Naomba nieleweke - kama ilivyo tofauti kati ya kumpiga mtoto na kumchapa mtoto. (there is a certain discipline that need to be instilled into ya women, you know?!!, especially when you forgot your godly role in the house)
Naona Vina vimetulia.....
Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.wanawake wa humu ndani kwa unafiki.....hamjambo...
wengi mnapigwa na mnavumilia.ila mkija hapa mnajishebedua......
baadhi ya wanawake hawaendi bila kupigwa.....
Walevi ndio zao kukunjia ngumi wake zao.
Vina gani tena?...........
umesomeka mgosi...hapo Je?
Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.
mpwa kumbe we ni kijana mdogo kabisa?!...Mara ya mwisho kupigwa ilikuwa nipo shule miaka hiyo ya tisini.sitegemei kuja kupigwa tena maishani mwangu na mtu awaye yeyote.
hivi umeolewa lakini?
Yawezekana ww ndo huwa unampiga mr. Wako wapo wanawake wa design hii pia.
mpwa kumbe we ni kijana mdogo kabisa?!...
Tisini ulikuwa shule bado?:bounce::bounce::bounce:
sasa kama swali langu kwa charity unajibu wewe....kwani we tisini hukua shule?
sasa kama swali langu kwa charity unajibu wewe....
Na je nikikuuliza wewe?
Back to topic:tisini mi nilikuwa kazini muda mrefu tu
This is the worst scenario.....mke anapata manundu toka kwa hawara......Kuna mke wa mtu alikuwa anapigwa na bwana wa nje...
Wakati mumewe hampigi....na bwana wa nje hamuachi...
Wanawake bwana.............