Mwanaume nimpendezeshe mimi, mwingine aje anipore, thubutuuuuuuu!

Kwani wanaolelewa hawaishi pamoja? Kuna jamaa mwezi january alifumaniwa na wanawake 2, mmoja amemhonga gari na anahudumia akijua yuko pekee, anajulikana kwao na anatumaini ataenda kutoa mahari wafunge ndoa....
Mwingine amempangia nyumba na anaprovide nae halkadhalika wamepanga mipango chungu nzima ya mbeleni....

Unadhani hakuna mipango ya mbeleni kwa hawa wanawake? Unadhani hawa wanawake wasingehonga yangewakuta haya? Si ndo mwanzo wa presha na kutaka kumu-izraeli kaka wa watu?

Sometime watu wanapoacha nature kuchukua mkondo wake wanaishia kujuta kama hao wanawake....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…