Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa nasikilizia tunasubiria mechi ya ya barca/real madrid.
Kesho lazima uchelewe kazini na hiyo El Classico match labda kama uko likizo..
Halafu muda kama huu mamsapu anakusubiri mmpeane pole kwa shughuli za siku nzima jamani ikiwemo kuongea kidogo!!
Kwanza hata sijui shwaitan gani kanituma kuja mitaa hii.
Naona moja moja ronaldo/pedro,mechi kali.
Oa lakini mkuu,ina raha yake.
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.
Yah muda muafaka ukifika na muolewaji akipatikana,nasaka hapatikani asalaleeee!
Naona moja moja ronaldo/pedro,mechi kali.
Oa lakini mkuu,ina raha yake.
baada ya El classico.. hukujitolea kumpoza hasira huyo mdada Magendoni(gasti hau..)Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.