King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
ha ha ha! Mkuu nyuma kidogo wana jf wakisema tafuta hela nilijisikia vibaya. Kumbe hela ndo kila kitu.Hahaha umeandika kwa hisia kama wanaume Wa jamii forum wote unawafahamu , Magari tunayo ila hatufanyi ujinga broh
Mkuu hii iwekee frame hapo sebuleni kwako ili wajukuu waje kuona fahari babu yao alivyokuwa kidume wa kukesha maabara kutafuta uvumbuzi wa matatizo ya jamii na kuwatengenezea njia nzuri ya kimaisha na kuwachia urithi wajukuu zake. Jitahidi uruke na ndege ule ke white kabisa Kama kule Copa Cabana,Maldives ,Spain, Bahamas,carribean beachesLeo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Hivi [emoji848]..gari ni kitu kikubwa sana mtu kumiliki? Mbona kuna watu wanaya-treat magari kama kitu special sana! Siku hizi gari siyo anasa wakuu, gari ni basic need.Jamiiforum kila mtu ana gari[emoji1]
Hao ma naibu waziri na waziri ni wakike au kiume mkuuu looh [emoji31][emoji1785]ha ha ha! Mkuu nyuma kidogo wana jf wakisema tafuta hela nilijisikia vibaya. Kumbe hela ndo kila kitu.
Mwaka 2020 nilimuona wazr na naibu wazr wamesimama pemben ya mlango wa gar wa mchimba madin wa kahama huku mikono wameikusanya kwenye vikojoleo vyao. Nilistaajabu sana. Nikauliza kulikon, nikajibiwa huyo dogo mchimbaji ndiye anawapa posho za wajumbe.
kwa kuwa unalo unaona la kawaida.Hivi [emoji848]..gari ni kitu kikubwa sana mtu kumiliki? Mbona kuna watu wanaya-treat magari kama kitu special sana. Siku hizi gari siyo anasa wakuu, gari ni basic need.
W M na aliyekuwa NW UTALIIHao ma naibu waziri na waziri ni wakike au kiume mkuuu looh [emoji31][emoji1785]
nisingekuwa na toyota allex ningetoa 5000 fasta, lakin walipoona ufunguo wakanipa bure.Mbona unatumia nguvu nyingi sana kuchakata bar maids?
Ushirombo imezungukwa na machimbo.karibu chama cha kumeza njegere kila sikuLeo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
mwaka wa 3 nakula pipi bosi. Nishawaka kitambo.Ushirombo imezungukwa na machimbo.karibu chama cha kumeza njegere kila siku
Konyo sana...hiyo NB sasa.Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Jamiiforum kila mtu ana gari
Ndio sifa mojawapo yakua na HelaUna madeni tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nimeweka ili wana jf wasinitukane kwa kusema kila mwna jf ana gari na hela.Konyo sana...hiyo NB sasa.
ndo hivo mkuu. Lazma kujifariji. Nikipata hela sitakuwa na muda wa kukomenti ujinga.Saaa
Sasa wewe mbona hutafuti pesa una azima toyota na madeni juu??
Hii kauli imekuwa ya watu maskini kujifariji
Tayari ni mgonjwa upstairs ama bujagundua umemkumbusha ya downstairs tuKuna magonjwa kumbuka kuchukua tahadhari