Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
- Thread starter
-
- #41
ni kweli ingawa watapnga! Mahb mnaongoza kung'oa walioshndkana kwa wengne. Mtu umepga jinz kali, tishet na kiatu matata ukiwa unanukia kama jin nan atakukataa? Hata ummy unapga.Mimi sina gari ila ni HB watoto wanakuja wenyewe sina haja ya gar na kununua chips kavu ili kuonga natafuta pesa kwa matumizi yangu
ripoti milembe waje na pingu. Watu mkiambiwa mtafute hela mnakasirika. Mimi ni tajiri wa 61,204,009 tanzania nzima.Mental illness is real - Master P.
[emoji16][emoji16][emoji16]Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
[emoji16][emoji16]Cheki ili jinga eti linajisifia kuwapelekea Moto barmaids.
Mis uSasa Barmaid ni mpaka uwe na gari! Ukimuoneshea wekundu tu anakufata hadi chooni mnamalizana,
Rudisha gari ya watu huna matumizi nayo
😅😅😅ndo hivo mkuu. Lazma kujifariji. Nikipata hela sitakuwa na muda wa kukomenti ujinga.
Wote maskn wenzangu wanatirisha komenti
Dogo, acha uboya, Toyota Allex ni gari au chombo cha usafiri?nisingekuwa na toyota allex ningetoa 5000 fasta, lakin walipoona ufunguo wakanipa bure.
ripoti milembe waje na pingu. Watu mkiambiwa mtafute hela mnakasirika. Mimi ni tajiri wa 61,204,009 tanzania nzima.
Dah! Una mikwara sana kijana! 😃Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
[emoji23] Muhenga anajichetuaMkuu umejiunga zamani sana 2013 ,haya mambo waachie "njuka".
Mis uMis u
[emoji23] Muhenga anajichetua
mwambie kijana huyo humu kuna watu wa levels mbalimbaliHahaha umeandika kwa hisia kama wanaume Wa jamii forum wote unawafahamu , Magari tunayo ila hatufanyi ujinga broh