Mwanaume tafuta hela ununue gari uwapelekee moto kwa chipsi kavu

Mimi sina gari ila ni HB watoto wanakuja wenyewe sina haja ya gar na kununua chips kavu ili kuonga natafuta pesa kwa matumizi yangu
ni kweli ingawa watapnga! Mahb mnaongoza kung'oa walioshndkana kwa wengne. Mtu umepga jinz kali, tishet na kiatu matata ukiwa unanukia kama jin nan atakukataa? Hata ummy unapga.
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
Dah! Una mikwara sana kijana! 😃
Bar Maids tu, ndiyo mpaka funguo! Hao ni hela yako tu.
 
pongezi nyingi kwa serikali ya rais samia suruhu hasan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…