Mwanaume ukioa mwanamke mwenye majina haya umekwisha. Umeoa mwanaume mwenzako

Mwanaume ukioa mwanamke mwenye majina haya umekwisha. Umeoa mwanaume mwenzako

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kuna yale majina ya kike yametokana na majina ya baba zao ila tu yamegeuzwa herufi ya mwisho.
Mara nyingi huwekwa "A".
Muda mwingine mzazi hulazimika kupindua jina ili tu kuleta sare ya majina katika familia yake.
Spiritually inaleta athari.
Mfano wa majina hayo ni Gabriella, Raphaella, Michaella, gadiella n.k
Hakuna ndoa yenye wanaume wawili.
Take care
 
Fadhila
Hamissa
Aziza
Yazida
Nyamayao
Mwana wote yaani Mwajuma, Mwanaisha, Mwanahamisi, Mwanakheri, Mwanakwetu, Mwanajuma
 
Back
Top Bottom