Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nguvu ya mwanaume siku zote ni uchumi/kipato. Kipato kinapokuwa chini hata nguvu pia ya kusimamia familia pamoja na mkewe hushuka. Inapotokea mkewe au mpenzie kumzidi kipato au cheo, hapo pia nguvu ya mwanaume huathiriwa.
Mwanaume anakuwa hana nguvu ya kumuamrisha au kumuelekeza mkewe. Matokeo yake mmewe inabidi aisimamie ile nafasi ya mwanamke kwa kuwa mpole pamoja na kufuata maelekezo ya mkewe.
Nilishashuhudia sehemu fulani, mume ni dereva na mke ni afisa, kilichotokea mumewe alikuja kufa kwa msongo wa mawazo, na alipougua alikuja kuuguzwa na ndugu zake (mwanaume) huku mkewe akiwa masafa akila bata na wale ambao anafanana nao kiuchumi.
Ikitokea kwa bahati mbaya ukaangukia katika uhusiano wa namna hii, ni bora utafute kifaa cha pembeni ili uwe unapooza machungu pale mambo yatakapokugeukia. Ni vigumu binadamu kuacha asili aliyoumbwa nayo, mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho, sasa kama mwanamke ndio ale kwa jasho hapo lazima baharia aishi kwa uchungu.
Mwanaume anakuwa hana nguvu ya kumuamrisha au kumuelekeza mkewe. Matokeo yake mmewe inabidi aisimamie ile nafasi ya mwanamke kwa kuwa mpole pamoja na kufuata maelekezo ya mkewe.
Nilishashuhudia sehemu fulani, mume ni dereva na mke ni afisa, kilichotokea mumewe alikuja kufa kwa msongo wa mawazo, na alipougua alikuja kuuguzwa na ndugu zake (mwanaume) huku mkewe akiwa masafa akila bata na wale ambao anafanana nao kiuchumi.
Ikitokea kwa bahati mbaya ukaangukia katika uhusiano wa namna hii, ni bora utafute kifaa cha pembeni ili uwe unapooza machungu pale mambo yatakapokugeukia. Ni vigumu binadamu kuacha asili aliyoumbwa nayo, mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho, sasa kama mwanamke ndio ale kwa jasho hapo lazima baharia aishi kwa uchungu.