Mwanamke hajui kupenda zile ni hisia zinatokana na ukaribu wenu. Mwanaume lazima asimame juu ili mwanamke amtii kinyume na hapo unatafuta stressNi wanaume wachache wasio na uwezo wanafurahia maisha ya ndoa, wengi wao wanapitia stress.
Ni kuomba tu Mungu akujalie mwanaume kama hujaoa basi upate mke mwema ambaye atakuheshimu na kukupenda kwa kiasi kile kile hata siku maisha yakiyumba.
Mbaya zaidi, kwenye tendo unaweza ukapewa rikizoili usife mapema wewe simamia majukumu yako kama mume,lisha familia,lipa school fees,rent,na bills zingine zoote na ikiwezekana mpe mkeo hela ya kupendeza hata kama ni mbunge wa ushetu wewe mpe tuu,jifanye huuoni ukuu wake hapo utakuwa na amani....na sio unajitutumua kifua kama kaburi la mtoto halafu huna hata mia na yeye ndio anakulisha,broo lazima ufe nusu karne.
Ficha maumivu yako,mwenye kuelewa ulichojibu anajuwa unayoyapitia...ili usife mapema wewe simamia majukumu yako kama mume,lisha familia,lipa school fees,rent,na bills zingine zoote na ikiwezekana mpe mkeo hela ya kupendeza hata kama ni mbunge wa ushetu wewe mpe tuu,jifanye huuoni ukuu wake hapo utakuwa na amani....na sio unajitutumua kifua kama kaburi la mtoto halafu huna hata mia na yeye ndio anakulisha,broo lazima ufe nusu karne.
🤣 🤣 🤣 🤣 aiseee,fanya kazi bro usimtegemee saaaana she.Ficha maumivu yako,mwenye kuelewa ulichojibu anajuwa unayoyapitia...
mkuu kuna nadharia nyingi ambazo mwanadam kamsingizi mungu kupitia maandiko kua ni za asili ya uumbaji bt kwa ukuaji wa science na teknolojia naona kama zinapwaya.Ni vigumu kupingana na asili ya uumbaji
tena iso na malipo...lolMbaya zaidi, kwenye tendo unaweza ukapewa rikizo
Sema mambo saivi yamebadilika, pesa imekua ndio inaleta heshima kwa mwanaume. Too badWanamna hiyo ni rahisi kuwamudu kama umewazidi kipato, na unaweza kujifariji utapata mwingine, ila aliyekuzidi kipato ikatokea mmetofautiana mwanaume anakuwa kama mbwa koko aliyerudisha mkia nyuma na kukimbia, hata mkiachana yeye bado ataendelea kuwa na maisha mazuri zaidi. Pale mwanaume anakuwa kama alikuwa mnyonyaji.
Maendeleo ya mwanamke nyuma kuna mwanaume,kama sio wewe, yupo aliyejificha.mkuu kuna nadharia nyingi ambazo mwanadam kamsingizi mungu kupitia maandiko kua ni za asili ya uumbaji bt kwa ukuaji wa science na teknolojia naona kama zinapwaya.
#mfano maandiko yalimuona mwanamke ni duni na hafai kuongoza bt mbona sasa wakipewa nafasi ni viongozi wazuri.
#mwanaume kula kwa jasho, hii nadharia inafanya kazi kwa wanaume wachache waliofeli kifikra katika kuzitumia bongo zao, wengi wanaozitumia bongo zao hawali kwa jasho kamwe na kuna watu tangu kazaliwa mpaka anakufa hajawahi kula kwa jasho je hawa si wanaume?
#kuzaa kwa uchungu, science pia imetuthibitishia kua kuna uwezekano mwanamke akazaa bila uchungu na tunakoelekea nadhani njia hii itatumika maana itawaepusha wanawake na hatari zitokanazo na matatizo yakujifungua.
Tunajua kupenda tena sana, hasa tukiwa treated vizuri na heshima inakuwepo ndani kama kawa hata bila kutumia mabavuMwanamke hajui kupenda zile ni hisia zinatokana na ukaribu wenu. Mwanaume lazima asimame juu ili mwanamke amtii kinyume na hapo unatafuta stress
Kweli mkuu, asipokuwa na hela anakuwa mgonjwa kwa mawazoSema mambo saivi yamebadilika, pesa imekua ndio inaleta heshima kwa mwanaume. Too bad
Hii sasa ni hatari, ndoa ikifikia huku basi juhudi za ziada zinahitajikaMbaya zaidi, kwenye tendo unaweza ukapewa rikizo
Fanya kazi kwa akili na kwa bidii, suala la kipato ni la MUNGU.Unaweza ukafanya kazi zaidi na bado kipato kikawa tofauti, ni sawa na injini ya bajaji uweke kwenye fuso, kitakachotokea ni injini kuungua tu
right bt yote haya yamefanikiwa baada yakuiondoa mipaka na mentality za hovyo zilizowekwa na wahenga wetu toka zamani.Maendeleo ya mwanamke nyuma kuna mwanaume,kama sio wewe, yupo aliyejificha.
Nguvu ya mwanaume siku zote ni uchumi/kipato. Kipato kinapokuwa chini hata nguvu pia ya kusimamia familia pamoja na mkewe hushuka. Inapotokea mkewe au mpenzie kumzidi kipato au cheo, hapo pia nguvu ya mwanaume huathiriwa.
Mwanaume anakuwa hana nguvu ya kumuamrisha au kumuelekeza mkewe. Matokeo yake mmewe inabidi aisimamie ile nafasi ya mwanamke kwa kuwa mpole pamoja na kufuata maelekezo ya mkewe.
Nilishashuhudia sehemu fulani, mume ni dereva na mke ni afisa, kilichotokea mumewe alikuja kufa kwa msongo wa mawazo, na alipougua alikuja kuuguzwa na ndugu zake (mwanaume) huku mkewe akiwa masafa akila bata na wale ambao anafanana nao kiuchumi.
Ikitokea kwa bahati mbaya ukaangukia katika uhusiano wa namna hii, ni bora utafute kifaa cha pembeni ili uwe unapooza machungu pale mambo yatakapokugeukia. Ni vigumu binadamu kuacha asili aliyoumbwa nayo, mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho, sasa kama mwanamke ndio ale kwa jasho hapo lazima baharia aishi kwa uchungu.
Haya yapo mkuu, sema watu wanavumilia tuHii sasa ni hatari, ndoa ikifikia huku basi juhudi za ziada zinahitajika
Kweli kwa sababu soko linakuwa limechujaAtaanza kukuheshimu akishazeeka.
Yapo kweli, pole yao wanaopitia hayo😂Haya yapo mkuu, sema watu wanavumilia tu
Ha ha ha ha watakuwa wamezipataYapo kweli, pole yao wanaopitia hayo😂
TFF lazima wafanye jambo kudadeki.Mfano Simba inashuka daraja... Yanga itacheza na nani? ijaze uwanja kama zamani? hilo halipo!