Mwanaume Ukiwajua wanawake huwezi kuumiza kichwa

Mwanaume Ukiwajua wanawake huwezi kuumiza kichwa

Ndenji five

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
1,985
Reaction score
3,109
Sikuzote hawa wenzetu huongea kinyume, ukikutamkia anakupenda jua hupendwi,akikutamkia hakupendi jua unapendwa.

Jitahid umakinike na matendo yake na sio maneno yake wanaume weng mmeingia kwenye migogoro kisa kushindwa kuwajua watu wenu
 
Back
Top Bottom