Duh,umetisha sana,tutakuwa tulikesha wote enzi hizo kuanglia miujiza ya Bauer,24Huyo Habib ni yule jamaa aliyemsumbua sana Jack Bauer na codes sijui za Nuclear baada ya kushusha Airforce one?
Sawa "kubwa dogo"!usinipotezee muda, chkua time!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu vipi kwa wanaogusa kongosho,utumbo,kolomeo na filigisi...?
Yaje maelezo yaliyotimia kabisa.
Mh kitu ambacho hakipo hata iweje huwezi gusa.mfano mwanaume mwwnye mpini waburefubwabfuti 7 akisukuma demubmpaka mwiaho tuasikia demu anaguna kuonyenaha kuumia je unafikili hapo ndio kwenye mji linapoaubiri yai shahawa hapana ....Wenyewe wenye kiungo husika, yaani wanawake, hawajui kama hapa ninapoguswa ndiyo kizazi(yai).
Kila mwanamke ninayekuwa naye faragha nikimuuliza nakigusa kizazi chako?, hajui, anabaki anantolea macho tu.
Kwa sababu wanawake wengi hawajui ndani ya maungo yao, labda wanaume wenzangu mmeshawahi ku experience kugusa kizazi cha mwanamke?
Twende kazi
Huwezi kugusa yai, unapotoa mbegu zako, husafirishwa kwenda kukutana na yai ili kulirutubisha. Kuna mirija inayofanya shughuli hizo.Ninacho target mimi, namaanisha kile kizazi kilicho ndani ya uke, au namaanisha kizazi kinachoguswa na uume wakati wa kujaamiana. Kiwe kizazi, au liwe yai, vyovyote vile ni sawa, ili mradi iwe kinachoguswa na uume wakati wa kujamiiana.
Zaidi tu, kama nimewakilisha maneno vibaya, unaweza kuweka sawa, halafu tuendelee.
Kama mwanamke hajawahi kulalamika unamgusa kizazi ujue uume wako ni mfupi... Wenye mashine kuanzia inch 7 ndio wanaielewa hii habari... Huna haja ya kuuliza.... Utamuona mtu amekunja sura utafikiri anakamuliwa jipu.... Au wengine atakupiga mpaka kibao huku anakwambia unanigusa kizazi.Wenyewe wenye kiungo husika, yaani wanawake, hawajui kama hapa ninapoguswa ndiyo kizazi(yai).
Kila mwanamke ninayekuwa naye faragha nikimuuliza nakigusa kizazi chako?, hajui, anabaki anantolea macho tu.
Kwa sababu wanawake wengi hawajui ndani ya maungo yao, labda wanaume wenzangu mmeshawahi ku experience kugusa kizazi cha mwanamke?
Twende kazi
watoto hao hawajamaliza primary wanarukia universitysasa unataka umguse ili iwaje!
watoto hao hawajamaliza primary wanarukia university
watoto hao hawajamaliza primary wanarukia university
mkuu labda umeshindwa kuelewa vizuri ni kuwa kile kinachoguswa huwa ni mlango wa kizazi yaani (cervix) na si kizazi chenyewe ni kwa kuwa huwa cervix ina tabia ya kujivuta flani yaani kuna staili ukimuweka mwanamke mfano kifo cha mende au mbuzi kagoma huwa cervix inajivuta kuja nyuma sana na hivyo kufanya wakati wa kujaamiana uume uiguse hiyo cervix na sio yai ama kizazi kwa kuwa kizazi kipo kwa ndani zaidi mkuu. na hata hivyo mpaka uguse hiyo cervix yenyewe inakubidi uwe na mashine kweli kweli mkuu kwa kuwa ipo kuazia 8 inches na kuendelea.
sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app