Mwanaume unajuaje umegusa kizazi/yai la mwanamke wakati wa kujamiiana?

Mwanamke akiguswa kizazi na U*boo wa Mwanaume anaweza piga ukunga hadi kilometer 5 wakasikia.

Kaka yangu kabisa aliachwa na Mke wake kwa kuandikiwa kimemo kuwa

"Sina kizazi cha kudondoshea hapo kitandani"

Na pia shem akamtumia mama yangu msg kuwa Ndoa na Mwanao imenishinda. Na hapo tayari walishazaa mtoto mmoja.

Hiyo ni kwasabb broh ana mkono wa mtoto mkubwa mno na alipewaga kirubber cha kuvalisha kwny ub*oo kama pete...ila ikawa inamshinda kwsbb anasema akiivaa kisha ub*oo ukasimama inamuumiza sana.

Daktari ilifikia mahali akamwambia tu basi awe anabalance na kuishia nusu.

Kuna kipindi huyu mwanamke alikuwa hadi asubuhi akiamka anashindwa kwenda kibaruani.

Nilishaelezea hili hapa kwajili ya kuhitaji ushauri kwa broh wangu.
sasa unataka umguse ili iwaje!

Na mnapokichokonoachokonoa hvo mtasababisha watu wapate canser ya kizazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 



aiseeeeeeeeeee
 
Thanks Dr.
 
Nimeshawahi sikia mara nyingi tu kwamba, wakati unajamiiana na mwanamke, unakuwa unagusa kizazi, yaani yai la mwanamke.

Utajuaje kama hiki nilichokigusa ndiyo kizazi cha mwanamke?

Asante.
Huwezi kuwa na uume mrefu hiyo ukagusa kizazi,na yai la mwanamke ni dogo sana kiasi hataingetokea kugusa basi huwezi hisi chochote, ila kwa wenye shafuti ndefu akakutana na mwenye uke mfupi anaweza akagusa mlangoni yaani "Cervix"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kugusa kizazi wala yai(mayai )la mwanamke wakati wa faragha badala yake unaweza kugusa shingo ya kizazi ya mwanamke (cervix) kwasababu kizazi cha mwanamke(uterus) kinachopatikana baada ya shingo ya kizazi huwezi gusa wala fikia kutokana na upenyo mdogo uliopo katika shingo ya kizazi na urefu uliopo katika shingo ya kizazi na huwez gusa mayai bila kufikia kizazi (uterus) na mirija ya kizazi(fallopian tube). Inshort huwez gusa vyote kati ya hivyo ila shingo ya kizazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo unayo igusa Huitwa GOROLIIII (GOLOLIIII)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…