Mkuu kupanga ni kuchaguaWakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?
Povu ruksa, Nishajikoki mabomu.
Nashindwa kumsupport au kumkataa, maana hata hiyo lite sinywi 🤷♂️
kesho itakuja mada nyingine mwanaume hanywi chai anakunyw kahawa😀Nashindwa kumsupport au kumkataa, maana hata hiyo lite sinywi 🤷♂️
Asitupangie maisha
haha unakunyw lite mzee🤣Asitupangie maisha
Naanza kali namalza na kisukutuliohaha unakunyw lite mzee🤣
unapiga vya kupima kwel kampan yako siiwezNaanza kali namalza na kisukutulio
Kwani kuna sehem nimempangia mtu anywe bia gani?
Hilo bichwa lako ni mzigo
umekula kwanza leo?"
Wakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?"
KWA HIYO HAPO JUU HUJAWAPANGIA WATU ? AU WEWE NDIO BICHWA LAKO NI MZIGO?.
bY THE WAY WEWE BWANA MDOGO NAKUSHAURI TU WANAUME WA UKWELI HATUJISIFII MAMBO YA POMBE
GROW UP DOGO JISIFIE MAMBO YA MAENDELEO SIO KUJISIFIA KWAMBA SINYWI POMBE FLANI
INAONEKANA UNAUSHAMBA FLANI WA MAISHA KAMA NDIO UMEPATA KAZI UNAANZA MAISHA TULIA ACHANA NA HUO UTOTO.
NI UTOTO KUJISIFIA MAMBO YA ULEVI , KAMA NDIO UMEANZA KUNYWA HIVI KARIBUNI EMBU HESHIMU WANYAJI WENZAKO
umekula kwanza leo?
Acha kelele njoo nikununulie bia.