Ndio ujue wewe kama unafanya hivyo hujielewi hao ndio successful people in our country sasa kwa nini wasiwe role model kwa hyo ww million 10 kwako ndio kipimo cha utajiri ndio nyie mnakopa million 10 bank mnakatwa miaka nane kwa ideology hizo mimi ukiniletea hapa watu wanaojielewa kama hao tutaenda sawa sio unapost 24/7 na status zinakuwa kama tairi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo ndio nimejua wewe ni mtu wa aina gani.
Mwanamke km hajatulia hata umuwekee ulinzi atapigwa na hao hao walinzi uliomuwekea ππππNdio ileile concept kuwa Mwanamke WA Ofisini anazagamuliwa huko ofisini hivyo wanaume waoe golikipa.
Yaani kuna Watu wanafikiri kwa namna ya ajabu sana
We mwenye akili kubwa endelea kupost mkuu sisi wenye akili ndogo tupo nyuma yenu.
Leo ndio nimegundua kumbe zile mada una copy sehemu sikutegemea kabisa kwa hyo ww kwa akili yako mastaa wote bongo wana akili? Maana naona unatoka nje ya mada zile fasihi kumbe huwa unaandikiwa nilikuwa sijui kumbe ww ni blank kabisaa.Kwenye uhalisia.
Wewe na Nick WA pili, Haji Manara na hao uliowataja kuna yeyote kwenye ukoo wenu anatija kuwashinda hao ndani ya taifa licha ya kuwa hampost Wake na wenza wenu?
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa, jambo lolote ambalo halivunji sheria za nchi au sheria za Mungu sio kosa kufanya. Na ukiona unamkamnya mtu asifanye jambi ambalo sio kosa ujue wewe ndio unamatatizo Makubwa
Ndo ukome kujibizana na watu wenye nongwa jf ππππNlijibizana na mtu kumbe yy anaclick report button kwenye kila reply yangu
Tatizo lako unabishana na uhalisia mada ilikuwa wanawake wanaofanya kazi za ofisini sio nyumbani mbona unaruka ruka hutulii kwenye mada moja.Wakati unaenda kazini unamuacha mkeo nyumbani unajua huku nyumbani anafanya nini?
Kama unaelimu walau ya kidato cha nne huwezi kuwaza kwa namna uliyowaza.
πππππ Watibeli wamecharuka leoUnamatatizo Mkuu. Wewe mtu akipost status hata mia moja kwenye simu yake, anatumia MB zake wewe nini kinakuhusu?
Mtu akitumia akauntu yake kumpost mpenzi wake au nyumba yake, au gari lake, hajapost mkeo wala mali yako. Wewe kinachokuuma ni nini kama sio uchawi wenyewΓ© huo?
Ninyi ndio kwenye familia mnavisheria mavimavi havina mbele wala nyuma alafu mkiambiwa mzifafanue mnabaki kubabaika kama majinga. Ni hasara kubwa
Sura ngumu km uji wa magimbi inshort hawatazamiki ππππLabda wapenzwenu hawapostikiπππ
Pesa sina ila sijawahi kuja kwako kuomba kazi au hela ya kula endelea na fasihi zako za ku copy kwenye vitabu vya shaban Robert.Wewe hupost mke au huyo mpenzi na Watu wanakamua au mapenzi yanakusumbua na pesa huna. Alafu unawataja Watu ambao huwafikia kwa lolote. Bado Huoni unamatatizo
πππππ Kaka chukua maji ushushie πΈKwenye uhalisia.
Wewe na Nick WA pili, Haji Manara na hao uliowataja kuna yeyote kwenye ukoo wenu anatija kuwashinda hao ndani ya taifa licha ya kuwa hampost Wake na wenza wenu?
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa, jambo lolote ambalo halivunji sheria za nchi au sheria za Mungu sio kosa kufanya. Na ukiona unamkamnya mtu asifanye jambi ambalo sio kosa ujue wewe ndio unamatatizo Makubwa
Aloooo! Na DC nae washamchapia?Sianzi na salamu kwasababu hata nikiwasalimia hamuitikii anyway let's go stright to our topic.
Unajua vijana wa siku hizi na baadhi ya watu wamekuwa wajinga sana ila wao wenyewe wanajiona wajanja na hata ukiwashauri wanakuona mshamba. Kumpenda mke wako au mpenzi wako sio lazima mpaka umpost mitandaoni kwasababu maisha ya mitandaoni na uhalisia ni tofauti watu wengi wanachokipost sicho wanachokiishi mimi leo kazi yangu kuwakumbusha tu.
Wakati tunaelekea kwenye valentine's day epuka huo mkenge mapenzi yalikuwepo kabla ya Instagram Facebook na WhatsApp jitambue epuka stress ambazo hazina msingi na zina epukika.
Sasa kabla hatujafika mbali ngoja nikupe mifano ya watu ambao mapenzi yamewatokea puani baada ya kuanikana mitandaoni na kujifanya wao kina sharkan na kajol.
NICK WA PILI NA MKE WAKE: Hawa bwana walifanya watu wengine wote waonekane wajinga kwasababu jinsi walivyokuwa wakiishi mitandaoni mpaka kufikia hatua ya mwanaume kusema hata akipewa nafasi ya kuoa tena atamuoa mke wake kwa mara ya pili ila mwisho wa siku shetani akaingia kati kilichotokea kila mtu alikiona. Watu walienda kula nyama nje ya nchi na ndio ikawa mwanzo wa matatizo yao.
DR. DR. MWAKA NA MKE WAKE: Hawa walifika mpaka hatua ya kufanya interview na kusema analala na wake zake kitanda kimoja na alikuwa mshauri mkubwa wa mahusiano kabla hayajamkuta, ila anachopitia sasa hivi ni maumivu mpaka kaamua kufunga comment section kwenye mitandao ya kijamii sasa fikiria muuza dawa za nguvu za kiume na mshauri wa ndoa anateseka demu anakula maisha na wanyamwezi wengine huko sasa mateso yote ya nini mzigo wahuni wanakula huko.
MANARA NA WAKE ZAKE WAWILI: Huyu jamaa anajifanya much know yaani yeye anajiona mjanja kuliko watu wote na kila kitu anajua yeye hata baada ya mzee Yusuph kumshauri alimjibu jeuri kama kawaida yake ila mwisho wa siku ndoa chalii licha ya kuwapeleka Dubai na Qatar lakini ngoma ilikuwa ngumu mwisho wa anayeteseka ni yeye ila anajikaza kwasababu yule jamaa hakubali kushindwa. Mizigo watu wamechukua huko safari za Dubai haziishi mapemzi haya.
MC PILIPILI NA MKEWE:Yaani katika watu waliotakiwa watulie ni hyo MC kwasababu kwa waliosoma UDOM na maisha aliyokuwa anaishi mke wake chuo alikuwa mdangaji pro max ila kwasababu MC ni mshamba akaona kapata mke akaweka ndani anayopitia sasa hivi anajua mwenyewe maumivu yake sasa kwa nini uteseke wakati mateso yana epukika. Mdangaji hawezi kusahau kazi yake angetulia kupunguza maumivu.
MADEBE NA MKEWE: Huyu jamaa alikuwa anajifanya mshauri wa masuala ya ndoa ila ni wahuni kama wahuni wengine baada ya mke wake kuelezea aliyokuwa anamfanyia wakiwa kwenye ndoa na kinachoendelea sasa hivi ni aibu kwa wote wawili kwasababu kila mmoja hakubali kushindwa. Ila kama sio mitandaoni kuanikana hzi taarifa walitakiwa wamalizane wenyewe tu ila kwasababu washazoea mitandao ilikuwa haliepukiki.
STAMINA NA MKEWE: Katika watu waliopitia kipindi kigumu kwenye ndoa na mapenzi ni huyo jamaa maana alifikia hatua mpaka ya kutaka kujiua baada ya ndoa yake kufika tamati na kupelekana mahakamani mpaka leo habari za ndoa na wanawake hataki kuzisikia na amejifunza kuto anika mademu hovyo hovyo maana ilikuwa tunamkosa kama sio watu kuingilia kati.
DULA MAKABILA NA ZAYLISA: Wasanii wetu wana heka heka nyingi sana yaani wanaishi maisha ya kuigiza mpaka kwenye ndoa mwisho wa siku wanabaki kuaibika na kudhalilika alichokuwa anakifanya makabila na mkewe ni kama vile watu wote walikosea kuoa yeye peke yake ndio ana mke mzuri na ndio wanapendana kuliko watu wote duniani. Ila amepata funzo kwasababu kilichomkuta kila mtu anakijua.
RICARDO MOMO NA MKEWE: We jamaa mshamba mshamba unapata bahati ya kuwa na pisi kali kama ile halafu una iyanika mara kwa mara unapost mitandaoni wahuni wamepita naye amebaki kulia tu demu haipiti week kaenda Dubai mateso yote ya nini fanya mambo kimya kimya kuepuka maumivu kwasababu yana epukika. Mitandao sio mizuri kwa wanandoa na wapenzi nikujitia stress tu.
NB:KUPOSTIANA MITANDAONI SIO ISHARA YA UPENDO NI KUTAKA KUKOMOANA AU KUJIONYESHA TU KWA WATU ILA NI TOFAUTI NA UHALISIA.
Mwanamke km hajatulia hata umuwekee ulinzi atapigwa na hao hao walinzi uliomuwekea ππππ
Ni ukosefe wa akili na kazi za kufanya huwezi kuta mtu anayejielewa anafanya huo ujinga ndio maana unashinda jf kuleta mada za fasihi hakuna mtu anayejielewa anafanya huo ujinga muda anatoa wapi wa kukesha kwenye upuuzi ambao hauna msaada wowote kwa jamii.Unamatatizo Mkuu. Wewe mtu akipost status hata mia moja kwenye simu yake, anatumia MB zake wewe nini kinakuhusu?
Mtu akitumia akauntu yake kumpost mpenzi wake au nyumba yake, au gari lake, hajapost mkeo wala mali yako. Wewe kinachokuuma ni nini kama sio uchawi wenyewΓ© huo?
Ninyi ndio kwenye familia mnavisheria mavimavi havina mbele wala nyuma alafu mkiambiwa mzifafanue mnabaki kubabaika kama majinga. Ni hasara kubwa
Mkuu kwa uelewa wako mtandaoni Watu wanatakiwa wapost jambo gani?
Pesa sina ila sijawahi kuja kwako kuomba kazi au hela ya kula endelea na fasihi zako za ku copy kwenye vitabu vya shaban Robert.
Mi nimekuelewa sana.You didn't catch my point and I don't want to agree with my point of view point yangu ni kwamba mkiishii kwa kupostiana au kuanikana mitandaoni mkija kuachana kwanza kila mtu anajua halafu inakuwa umejipa stress za kujitakia kutoka kwa wananchi kwasababu wewe ulishawazoesha watu huwa mnapostiana hivyo unabaki na stress kama za dokta mwaka na nick wa 2 taikoni soma andiko lote mbona ya kwako ni marefu na tunayasoma.
Kuachana hakuna uhusiano na ku-post au kutokumpost mke au mume.
Listi ya wanaoachana na hawajawahi kuwapost wenza wao ni kubwa kuliko waliowahi kuwapost.
Hivyo kiutafiti na logically tunasema hakuna uhusiano wowote baina ya kuachana au kuibiwa mwenza na kumpost mitandaoni