Mwanaume Vyakula gani unaweza kupika?

Napika vyakula karibu vyote.. Ila kutumia nazi ndio sijui kwa kweli...

Na hii sikutaka kujifunza kwa sbbu sipendi mafuta ya naz
Ahahaaa umenifurahisha sana..upo kama mimi..ila mie kwenye vitafunwa aisee navijua kwelikweli..na kila siku najifunza vipya....hongera sana.
 
Hongera aisee
 
Hongera aisee unajua vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…