Mwanaume wa kuzaa nae!

Kujinadiii koteee Mara Paaaaap HAUSHIKI UJAUZITO ......sijui utaleta mrejesho upi!!!
 
kwa maelekezo hayo labda ubakwe..basi
 
Nadhani huyu yupo sahihi jinsi alivyochagua na kuwa muwazi,kuliko unafiki.
Nchi huru hii, kila raia na chaguo lake na maamuzi yake.
Kuhusu kufuatilia mbegu zako mwanaume ulizomwaga kwa mtu mwenye malengo nazo ni aina fulani ya uchoyo na ulimbukeni.
Ni lita ngapi za shahawa wanaume tunazomwaga kipumbafpumbaf kwenye mikebe ya kondom kwa wanawake malaya wanaojiuza bila kujali? Iwe kwa huyu aliyeomba? Jamani mtu huyu apewe, aombaye hupewa bana.
Ila naye huyu mama suala hili hajalifanyia utafiti wa kina. Suala la kusema mwanamume atakayemtungisha mimba wasijuane naye baada ya hapo, amejidanganya pakubwa.
Hakuna kitu kikubwa duniani kinachounganisha na kinacholeta upendo kama kuzaa pamoja.
Leo kwamfano umefyatua mmoja, sawa. Waweza kuta umefyatua wa kiume, lakini moyoni mwako ulilenga wa kike. Hapo kiu yako itakuwa haijakatwa, utatamani jamaa aje tena apande ubahatishe kukubambika wa ndoto yako,si ndiyo. Hapo haujamtafuta tena?
Huo mfano mfupi ni wa jinsi gani watu hujikuta wanalemaa na penzi la mwanaume mmoja bila kupenda.
La pili, unapofanya sex na mtu, inategemeana na uvutano utakao zalishwa hapo. Hakuna jasiri awezaye kuushinda upendo duniani, ukiishakupenda umenasa hautoki, utabakia tu kusema "kwani nimekataa?"....." Nani alikuambia sikupendi?" Nk nk. Unajianika ya moyoni mwako, uliishanyooka na kubadili maamuzi bila ya kupenda huku siku zikisonga mbele.
La tatu ni ujuha na utovu wa elimu ku-rank makabila dunia ya leo. Wawezakuta mtu kwa mfano anaongea kigogo na anaishi labda Dodoma, lakini siyo mgogo vinasaba vyake vikawa vyaa Kihehe.
Kamchanganyikeni ya kuoleana makabila dunia ya leo ni kubwa sana kuliko anavyodhania.
Na kuweka kigezo cha mume wa mtu, inashusha uzito wa hoja. Maana yake ni kwamba hata angelikuwa ni "single" pia asingelihusika na haki ya mtoto pindi amalizapo "kazi" aliyokodishwa kuifanya kutokana na vigezo ulivoviweka.
Mwisho aweke picha yake na gharama za kifuta jasho atakazomlipa dume la mbegu litakalozima kiu yake. Aone kama pm yake haijajam!
 
Nimejitokeza kwa ombi lako, ushindwe mwenyewe
 
Dah sasa unataka mwanaume wa aina gani kama unamkataa mkurya na muhaya ambao ndio mapande ya watu na wenye IQ kubwaa
 
Mungu akusamehe tu,DUNIA ikifikia hapa basi binadamu TUTAKUWA zaidi ya shetani!
1.kila mwenye IMANI hupenda kuzaa na kulea mwanae,iweje mtu aweke mimba kisha ajiobdoe

2.huyo mtoto utamwambia baba yako amefariki au amekutupa?

3.ukimaanisha unataka mimba tu maana yake hautaki ndoa,nini mpango wako? (NAAMINI zinaa)

4.nani anapenda kulea mwanae pekee?unajiamini nini?

5.omba mume ,Mungu ni mkarimu sana atakupa na ziada (ukiomba mume,mke atakupa na mtoto,ukiomba mtoto atakupa na mjukuu,ukiomba kazi atakupa na NYUMBA,ukiomba NYUMBA atakupa na gari)
AHSANTE
 
Ni pm kisha nitakupa mwongozo muhimu.
 
alaaa kumbe
 
Kabila lolote afu kuna isipokua kaa ivyoivyo maana makabila uliyokataa ndo yenye uwezo wa kukupa mimba
 
Ivi ww una sifa gani maana hata mm naitaji vigezo vyangu vizingatiwe ndio nikugegede we vp
 
Mimba si siku moja tu inatosha.
Haya wafanya Biashara fursa hiyo apo.
 

Mi ninanzo zoote tatizo ni Mkurya,kwani whats wrong with Kabila,Unataka kutambikaa!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…