Mwanaume wa miaka 35 hadi 43 (2) Analysis

Mwanaume wa miaka 35 hadi 43 (2) Analysis

Somoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
754
Reaction score
282
Nimesoma malalamiko mengi humu JF.
Wanawake wakilaumu kuwa wanaume wa Jf ni balaa, mabomu, wanataka sex tu, waongo, walaghai nk

Na wanaume wakilalamika kusema wanawake wa JF ni noma, m-pesa na matatizo yao ya kipesa umtupia mchumba.


Hii ikanipata nami niweke tangazo ili nione kama yote yasemwayo humu ndani ni kweli ama!!!

Kuna kaka mmoja alisema kuwa watu wanaweza kucommet mpaka tangazo lenyewe utalipotezea.
Na hilo ndio nililoligundua humu ndani, maana kuna watu wanakuja kufanya fujo ktk matangazo ya watu.
Mtu anatangaza anataka ng`ombe wao wanamshauri anunue mbuzi.
Na kumkashf na kumbambikia mtu tabia ambayo halingani nayo kabisa, kwao sio tabu.

Mitandao mingi ulimwenguni jukwaa la kutafuta mchumba/mpenzi, msomaji tangazo hapewi possibility ya kucomment kitu chochote ktk tangazo hilo. Cha kushangaza JF inaruhusu wasomaji matangazo ya uchumba, wacommet hayo matangazo. JF inauwezo mkubwa wa kuzuia watu wasiweze kucomment hapa love connect. Lakini JF haichukui hatua yeyote ingawa watu ulalamika.

MASHART
Kama mtu anataka mkristo ama muislam, mweupe ama mweusi, mrefu ama mfupi, mchaga ama msukuma, tatizo la mtangazaji, kama hakupata anachotaka, siku ingine atabadili mawazo yeye mwenyewe bila kushauriwa na mtu. Lakini watu wengine wa JF wanafikiri ni jukumu lao kumshauri na kumlazimisha mtu hasitoe mashart. Ikiwa mashart ndio mstari wa kufuata kama unamtaka mtu yule, ukiona mashart magumu kwa huyu basi unaenda kusiko na mashart magumu.


TABIA YA MTU
Hapa JF wanaweza kumtangazia mtu ana VVU, na malaya la kutupwa ingawa yote ya kutunga ili kumuaribia mtu.
Munao tafuta wachumba hapa, mutakabiliana na mengi kiasi ya kwamba mutaishia kudharau watu wa humu ndani, na kuipotezea.

AINA YA WATU WA HAPA
Vile vile nimegundua watu wengi humu ndani wameoa na kuolewa, wanakuja kuchezea watu, kuchezea mawazo ya watu, na kulaghai watu.
Wanawake wanakuja kulaghai wanaume kipesa, na wanaume wanakuja kulaghai wanawake ki sex tu basi.
Wakikuona mtu mgumu hauendi uko wanakotaka, ukuvamia na matusi.

Na vile vile kunamchezo wa kumbambikia mtu mchumba, yule unaeongea nae sio yule utakae kutana nae. Kwaiyo ukiwa na mashart mengi, unawawekea ugumu sana. Wao wanataka mkokoteni raisi kusukuma, ila akiona wewe ni Fuso nae leseni hana, atabaki anakuzunguka zunguka tu, na ndio hapa utambamba kama ni tapeli.
Mtu mwema haombi pesa, na wala haombi sex, na wala hacomment ili kukupindisha ukate tamaa ili ujione haupo sahihi na umkubali yeye.


Na kuna wengine ubadirisha Usename, atajulikana jina la Abedi anajibadilisha kuwa Jack baadae atajibadilisha kuwa steven, atajibadilisha atakuwa Ali tajibadilisha atakuwa Carolyn. Na hata email ubadilisha badilisha.

Haya ndio maisha ya love connect.
 
Unalalamika au kutafuta suluhu? JF ni open ground kwa mtu yeyote kutoa mchango wake. Sioni kama ni vibaya watu kutoa comments zao. Jitahidini kuwa wavumilivu. Mitandao hii ni kama barabara. Kuna dereva wazuri na hata welevi. Kuna wanaofuata sheria na wanaovunja sheria. Hii ndiyo maana ya maisha.
Nimesoma malalamiko mengi humu JF.
Wanawake wakilaumu kuwa wanaume wa Jf ni balaa, mabomu, wanataka sex tu, waongo, walaghai nk

Na wanaume wakilalamika kusema wanawake wa JF ni noma, m-pesa na matatizo yao ya kipesa umtupia mchumba.


Hii ikanipata nami niweke tangazo ili nione kama yote yasemwayo humu ndani ni kweli ama!!!

Kuna kaka mmoja alisema kuwa watu wanaweza kucommet mpaka tangazo lenyewe utalipotezea.
Na hilo ndio nililoligundua humu ndani, maana kuna watu wanakuja kufanya fujo ktk matangazo ya watu.
Mtu anatangaza anataka ng`ombe wao wanamshauri anunue mbuzi.
Na kumkashf na kumbambikia mtu tabia ambayo halingani nayo kabisa, kwao sio tabu.

Mitandao mingi ulimwenguni jukwaa la kutafuta mchumba/mpenzi, msomaji tangazo hapewi possibility ya kucomment kitu chochote ktk tangazo hilo. Cha kushangaza JF inaruhusu wasomaji matangazo ya uchumba, wacommet hayo matangazo. JF inauwezo mkubwa wa kuzuia watu wasiweze kucomment hapa love connect. Lakini JF haichukui hatua yeyote ingawa watu ulalamika.

MASHART
Kama mtu anataka mkristo ama muislam, mweupe ama mweusi, mrefu ama mfupi, mchaga ama msukuma, tatizo la mtangazaji, kama hakupata anachotaka, siku ingine atabadili mawazo yeye mwenyewe bila kushauriwa na mtu. Lakini watu wengine wa JF wanafikiri ni jukumu lao kumshauri na kumlazimisha mtu hasitoe mashart. Ikiwa mashart ndio mstari wa kufuata kama unamtaka mtu yule, ukiona mashart magumu kwa huyu basi unaenda kusiko na mashart magumu.


TABIA YA MTU
Hapa JF wanaweza kumtangazia mtu ana VVU, na malaya la kutupwa ingawa yote ya kutunga ili kumuaribia mtu.
Munao tafuta wachumba hapa, mutakabiliana na mengi kiasi ya kwamba mutaishia kudharau watu wa humu ndani, na kuipotezea.

AINA YA WATU WA HAPA
Vile vile nimegundua watu wengi humu ndani wameoa na kuolewa, wanakuja kuchezea watu, kuchezea mawazo ya watu, na kulaghai watu.
Wanawake wanakuja kulaghai wanaume kipesa, na wanaume wanakuja kulaghai wanawake ki sex tu basi.
Wakikuona mtu mgumu hauendi uko wanakotaka, ukuvamia na matusi.

Na vile vile kunamchezo wa kumbambikia mtu mchumba, yule unaeongea nae sio yule utakae kutana nae. Kwaiyo ukiwa na mashart mengi, unawawekea ugumu sana. Wao wanataka mkokoteni raisi kusukuma, ila akiona wewe ni Fuso nae leseni hana, atabaki anakuzunguka zunguka tu, na ndio hapa utambamba kama ni tapeli.
Mtu mwema haombi pesa, na wala haombi sex, na wala hacomment ili kukupindisha ukate tamaa ili ujione haupo sahihi na umkubali yeye.


Na kuna wengine ubadirisha Usename, atajulikana jina la Abedi anajibadilisha kuwa Jack baadae atajibadilisha kuwa steven, atajibadilisha atakuwa Ali tajibadilisha atakuwa Carolyn. Na hata email ubadilisha badilisha.

Haya ndio maisha ya love connect.
 
Thread ya pili hii hapa love connect kama sikosei, hujapata tu?
Wanaume wa jf acheni hizo hebu kueni sirias.....
 
duh umeandika kwa hisia kali, tatizo ulowaandikia hawataki kuwa serious kiivyoo, maisha yenyewe yako serious afu yamekaza.... bila utani tutawahi kufa bureee
 
Kutafuta mpenzi mtandaoni mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!! Kwisha khabari yake!
 
duh pole mwaya ndo mitandao yetu ...watu tunatofautiana sana ila usijali muda ukifika utampata wako wa ukweli....
 
Mmmh... Humu JF jamani kuna mambo..!!!
 
kwani kuna ubaya gan mwanaume kutaka tunda? kwani wewe utaki utamu? mbaya ni umalaya wa kutaka pesa (wa wanawake, mostly, maana hapo hamna future), lakini kutiana ni pouwa tu, mnaeza mkatiana halafu mkaoana ukawa umeua ndege mmoja kwa mawe mawili/
 
Back
Top Bottom