Eminem jr
JF-Expert Member
- May 21, 2018
- 2,003
- 4,584
1; Mwanaume kulala
kitandani uwo ni
umama mwanaume
unatakiwa ulale
makaburini miguu
unaning'iniza
kwenyve msalaba
2; Mwanaume kuhema
kila siku ni umama
Mwanaume
unatakiwa kubana
pumzi mpaka
parapanda
itakapolia.
3; Uanaume ni kuingia
na upupu chooni kwa
kuchamba na siyo
kuingia na maji
4; Mwanaume ukiumwa
kwenda hospital n
umamaa Mwanaume
unakula mizizi ya
mwarobain na
mualovera
5; Mwanaume ukiambiwa I MISS U.. una reply I MISS U TOO ni umama Unatakiwa useme UNATAKA SH NGAP??
6; Mwanaume unakutana na Dada kajipaka MAke up Afu unasema waoooh umependeza huo ni umama Unatakiwa useme Waooh nice photo.
kitandani uwo ni
umama mwanaume
unatakiwa ulale
makaburini miguu
unaning'iniza
kwenyve msalaba
2; Mwanaume kuhema
kila siku ni umama
Mwanaume
unatakiwa kubana
pumzi mpaka
parapanda
itakapolia.
3; Uanaume ni kuingia
na upupu chooni kwa
kuchamba na siyo
kuingia na maji
4; Mwanaume ukiumwa
kwenda hospital n
umamaa Mwanaume
unakula mizizi ya
mwarobain na
mualovera
5; Mwanaume ukiambiwa I MISS U.. una reply I MISS U TOO ni umama Unatakiwa useme UNATAKA SH NGAP??
6; Mwanaume unakutana na Dada kajipaka MAke up Afu unasema waoooh umependeza huo ni umama Unatakiwa useme Waooh nice photo.