MWANAUME WA UKWELI

Eminem jr

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2018
Posts
2,003
Reaction score
4,584
1; Mwanaume kulala
kitandani uwo ni
umama mwanaume
unatakiwa ulale
makaburini miguu
unaning'iniza
kwenyve msalaba


2; Mwanaume kuhema
kila siku ni umama
Mwanaume
unatakiwa kubana
pumzi mpaka
parapanda
itakapolia.

3; Uanaume ni kuingia
na upupu chooni kwa
kuchamba na siyo
kuingia na maji


4; Mwanaume ukiumwa
kwenda hospital n
umamaa Mwanaume
unakula mizizi ya
mwarobain na
mualovera

5; Mwanaume ukiambiwa I MISS U.. una reply I MISS U TOO ni umama Unatakiwa useme UNATAKA SH NGAP??

6; Mwanaume unakutana na Dada kajipaka MAke up Afu unasema waoooh umependeza huo ni umama Unatakiwa useme Waooh nice photo.
 
Acha tufurahie hizi nyuzi maana ukileta zile za siri kali uzi unafutwa
 
Moderators hawafanyi kazi tena.
Japo salama ya jf ni huu upuuzi mkijadili mambo serious haitapona kufungiwa.
Muwe mnatofautisha majukwaa kama vip Anzishen bhasi jamii forum yenu muwe Mnafuta nyuz kama hizi alaah😑
 
Mwanaume kunywa konyagi huo ni umama, mwanaume unatakiwa unywe TINDIKALI..,
 
Mwanaume kuogelea huo ni umama, Mwanaume unatakiwa utembee juu ya maji
 
Mwanaume kutembea juu ya maji huo ni umama, Mwanaume unatakiwa upasue maji kwa fimbo kama Musa kisha upite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…