Mimi huyo kabisa [emoji817]%. [emoji19][emoji19][emoji19]Sijaona mada iliyojikamilisha kama hii kuhusu masuala ya upungufu wa nguvu za kiume. Mwenye masikio na asikie, Ponyeto, ponografia, ulevi n.k ni adui mkubwa wa uume wako ndugu mwanaume. Mkuu hongera, wakujifunza watajifunza na wakupinga wache hadi yawakute
Kwenye hao maadui wa uume ongezea CCm na Nccr mageuzi
KabisaaaKabisa hasa CCM na Polisi wao,nusura waondoe kizazi cha Halima Mdee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbishi Mimi mwenyewe nakataa katakataJamaa wewe mbona mbishi sana wewe?