Mwanayanga umeshanunua tiketi yako ya Jumapili kwa Mkapa?

Mwanayanga umeshanunua tiketi yako ya Jumapili kwa Mkapa?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Mpo huku mitandaoni mkisema Simba inacheza kombe la Ndondo, mnasema Simba haikuwa na on target hata moja, mnasema Simba ni mbovu sana, ila mko mstari wa mbele kununua tiketi kwenda kuangalia pira ubaya ubwela.

Kwa nini msiende Zanzibar mkashuhudie timu yenu ikiweka historia ya kuingia makundi? Kwa nini msiende Zenji mkafyeke chaka tunalojificha la rank za CAF kama mnavyodai?

Anyway, karibuni Kwa Mkapa, hiyo ndiyo mechi itakayokuwa inatazamwa Africa nzima katika mashindano yote ya CAF. Jaribuni tu kuvaa nyekundu, msituchafulie uwanja kwa rangi za manjano.
 
Mpo huku mitandaoni mkisema Simba inacheza kombe la Ndondo, mnasema Simba haikuwa na on target hata moja, mnasema Simba ni mbovu sana, ila mko mstari wa mbele kununua tiketi kwenda kuangalia pira ubaya ubwela.

Kwa nini msiende Zanzibar mkashuhudie timu yenu ikiweka historia ya kuingia makundi? Kwa nini msiende Zenji mkafyeke chaka tunalojificha la rank za CAF kama mnavyodai?

Anyway, karibuni Kwa Mkapa, hiyo ndiyo mechi itakayokuwa inatazamwa Africa nzima katika mashindano yote ya CAF. Jaribuni tu kuvaa nyekundu, msituchafulie uwanja kwa rangi za manjano.
Mie namkubali sana .....Labani og.....yeye kesha nunua tiketi mapema sana 😀
 
MIMI NI YANGA DAMU ILA SIMBA NI TIMU KUBWA HADI ULAYA WANAIJUA JUMAPILI MAPEMA SITI ZA MBELE NIKAMUONE FUNDI DEBORAH XAVI INIESTA PIRLO DE BRUYNE MODRIC MAVAMBO
 
Back
Top Bottom