TANZIA Mwanazuoni na Mwanasayansi Prof. Anselm Biseko Lwoga afariki dunia

TANZIA Mwanazuoni na Mwanasayansi Prof. Anselm Biseko Lwoga afariki dunia

Pride Tanzania

New Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2
Reaction score
22
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya umma
IMG_20240903_125100_492.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240903_121901_773.jpg
    IMG_20240903_121901_773.jpg
    337.7 KB · Views: 4
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya ummaView attachment 3180271
Ríp professa
 
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya ummaView attachment 3180271
Mwanae mwingine ni Dr.Noel Lwoga,Mkuu wa Makumbusho ya Taifa,watoto wamebukua kama Baba
 
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya ummaView attachment 3180271
Ushimen sorry for the loss of your classmate.
 
Ni Luoga, na sio Lwoga.
Mtu wa Songea huyu.

RIP prof. [emoji24][emoji24][emoji24]
Acha UONGO na wewe,ni LWOGA,na ratiba ya Mazishi hiyo hapo,huyo mwanae Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dr.Noel Lwoga nilisoma nae intake moja Bachelor Degree Makerere University,Uganda
 

Attachments

  • Screenshot_20241220-093048.jpg
    Screenshot_20241220-093048.jpg
    191.4 KB · Views: 4
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya ummaView attachment 3180271
Pole kwa Wanazuoni wote wa SUA, Familia, Ndugu na Jamaa wote walioguswa na msiba huu.
Hakika maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu, matendo yetu ni maua hapa Duniani TUJITAHIDI kutenda mema kwanj maisha ni mafupi mno.
Apumzike kwa Amani Prof. Lwoga
 
Alikuwa Jitu katili sana! Tuligoma mwaka 1992, wakati wake akatufanya alichojua yeye!

Amechota fedha nyingi sana SUA.
Familia yake itakubaliana nami, na fedha hizo zirudishwe serikalini!
 
Aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo cha kilimo Sokoine SUA kuanzia mwaka 1989 mpaka 2006 na Mwenyekiti BODI ya MIKOPO kuanzia 2008 mpaka 2016...amefariki DUNIA hapo Jana tarehe 18dec2024 mkoani Morogoro...!

Ikumbukwe marehemu alifanya kazi na Marais wastaafu Mwl Julius Kambarage Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete..na pia alikuwa mjumbe wa BODI mbalimbalj ikiwemo necta, na nk

Marehemu alikuwa ni msomi na mhadhiri mbobevu kwenye sekta ya kilimo, akitokea idara ya crop science akiwa ni Professor wa fani ya pasture Agronomy...!
=======================

BURIANI MWANAZUONI NA MWANASAYANSI PROF. ANSELM BISEKO LWOGA:*

MAFANIKIO YA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) NI MATOKEO YA UONGOZI WAKE ULIOTUKUKA;

ALIKUWA DVC (TAALUMA) WA KWANZA SUA NA VC WA PILI, IKIWA NI MIAKA MINNE (4) TU TOKA SUA IWE CHUO KIKUU;

ALISTAAFU MWAKA 2006 SUA IKIJULIKANA DUNIANI KOTE KAMA TAASISI KUBWA YA ELIMU NCHINI.

Na Derek MURUSURI, Dodoma.

19 Disemba, 2024

Jana (18 Disemba, 2024), nimeona tangazo la kulala usingizi wa mauti, Prof. Anselm Biseko LWOGA (78), aliyewahi Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wa pili na Naibu Makamu wa Mkuu Mkuu wa Chuo Kikuu (Taaluma) wa kwanza.

Mwenyezi Mungu amrehemu Prof. Lwoga, ambaye hajaondoka kizembe, la hasha. Ana rekodi ya kipekee sana katika utumishi wake kwa umma wa Watanzania.

Katika uga wa elimu ya juu, hasa katika sayansi, Prof. Anselm Biseko Luoga ni SHUJAA.

Prof. Anselm Biseko Lwoga ndiye aliyeisuka SUA kufikia mafanikio makubwa ambayo yamepatikana hadi leo.

Ni kwa sababu ya uadilifu, ubunifu, uchapa kazi na maono ya Prof. Lwoga, ambaye pia ni Baba mzazi wa Mkuu wa Chuo cha CBE, Prof. Edda Lwoga. Hakika maji hufuata mkondo.

Ukuaji wa SUA, kwa zaidi ya asilimia 99, unatokana na uongozi mahiri wa Prof. Anselm Biseko Lwoga.

Aliaminiwa na kufanywa Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu (SUA) wa kwanza na miaka minne tu baada ya SUA kuwa Chuo Kikuu kamili.

Akaaminiwa kuwa VC, tena VC wa pili na kukiongoza Chuo kikuu hicho kwa miaka 18 hadi tarehe 15 Juni, 2006 alipostaafu.

Alikuwa miongoni mwa viongozi waadilifu sana nchini tena wale wasiopendezwa kabisa na aina yo yote ya rushwa na ubadhilifu wa mali ya ummaView attachment 3180271
Watu siku hizi hawapendi kusikia Habari za vifo?
Huu uzi tangu jana watu wanaupita tu bjla kutoa Pole.
 
Back
Top Bottom