Mwandishi arekodi video kuonesha Wanajeshi wa DRC walioshindwa na M23 wanavyoishi kwa tabu Goma

Mwandishi arekodi video kuonesha Wanajeshi wa DRC walioshindwa na M23 wanavyoishi kwa tabu Goma

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwandishi UMUTONI Adeline arekodi video kuonesha Wanajeshi wa DRC walioshindwa na M23 wanavyoishi kwa tabu Goma

IMG_3062.jpeg


 
Tabu iko wapi sasa hapo kwa Mwanajeshi? Yaani mwanajeshi aliyefundishwa kukaa na viatu kwa mwezi mzima bila kuvivua huku akiwa kwenye mafunzo ya nyakati ya mvua na jua kali hadi miguu inaoza ndiyo usema yupo kwenye tabu.
Acha utani.
 
Mbona wanafurahia maisha kabisa hapo... Au unataka wawe wanalamba na ubuyu kabisa..?? 🙂 🙂
 
Tabu iko wapi sasa hapo kwa Mwanajeshi? Yaani mwanajeshi aliyefundishwa kukaa na viatu kwa mwezi mzima bila kuvivua huku akiwa kwenye mafunzo ya nyakati ya mvua na jua kali hadi miguu inaoza ndiyo usema yupo kwenye tabu.
Acha utani.
Mafunzo kama hayo unayoyaongelea yanatakiwa yawe sehemu ya Maisha Yao jeshini mpaka wanastaafu na sio mwezi mmoja ama miwili matokeo yake ndio haya unakutana na wanajeshi mtaani wametepeta kama mlenda kutwa kushinda bar kugombania wanawake na raia mbaya zaidi mpaka kichapo wanapewa na raia.
 
Mafunzo kama hayo unayoyaongelea yanatakiwa yawe sehemu ya Maisha Yao jeshini mpaka wanastaafu na sio mwezi mmoja ama miwili matokeo yake ndio haya unakutana na wanajeshi mtaani wametepeta kama mlenda kutwa kushinda bar kugombania wanawake na raia mbaya zaidi mpaka kichapo wanapewa na raia.
Popote pale wanajeshi lazima waandaliwe na kujiandaa kabla ya kuingia vitani popote pale Duniani. Ni kama vile watu wanavyojiandaa kufanya usahili regardless wewe ni msomi kiasi gani.
 
Back
Top Bottom