TANZIA Mwandishi Mahiri wa Global, Shakoor Jongo Amepata ajali na kufariki

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Taarifa zimekuja hapa Mwanyamala Hospitali kuwa aliekuwa mwandishi nguli wa magazeti ya Global Publisher bwana Shakoor Jongo Amepata ajali pale Maasai Kinondoni na kufariki hapo hapo Alfajiri hii.

Huyu mwandishi alikuwa nguli wa habari za kwenye kumbi za starehe, na ambae alikuwa akiripoti matukio mbali mbali yaliyokuwa yakitokea.

Bwana ametoa na kwake tutarudi insha'Allah.

 
Noma Sana yaaan Ila Mavumbini wote tutarudi
 
R.I.P

Huku JF alikuwa anatumia ID gani?
 
Kufuatilia habari za udaku hadi alfajiri Nako Sio pouwa!! Apumzike Kwa amani Bingwa
 

Apumzike Kwa Amani

Muda Huu Hautoshi Yaani Hatujui Siku Wala Saa

 
Dar huwa ni foleni toka asubuhi hadi usiku sijui inakuwaje hizi ajali huko dar. .rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…