Mwandishi Munga Tehenan: YUPO WAPI?

Nami nilikuwa mpenzi mkubwa wa gazeti la JITAMBUE,nilijifunza mengi sana jinsi ya kuishi na watu,na hasa kuwasaidia usiowajua,kupitia kwake nilijifunza kuwa wema unalipa,wema ni akiba.niliumizwa sana na kifo chake,kama sikosei JITAMBUE lilikuwa linatoka siku ya alhamis,nilikuwa naweka order kabisa,nakumbuka siku naenda kuchukua gazeti,nikaambiwa mtunzi amefariki,nafsi yangu iliugua sana.hata hivyo ameniachia hazina kubwa ya mafundisho yake.RIP MUNGA TEHENAN.
 
Namkumbuka sana kwa gazeti lake la jitambue
 
Mungu aliaga dunia kitambo,kitu kama 2007 hivi na aliswaliwa pale msikiti wa kibo.Alipokufa na shughuli zake zote ziliishia hapo.Kuna umuhimu wa kujenga mfumo wa kitaasisi kuliko kusimama mtu kama mtu.
Mkuu, ulichoongea ni ugonjwa mkubwa sana kwenye familia nyingi sana...
Either wenye shughuri hawataki kushirikisha wengine AU wanaotakiwa kushirikishwa hawajuonyeshi kutaka kushiriki
 
Nahitaji kupata hizi video, unanisaidiaje ndugu?
 
Hata Mimi nilikuwa napenda Sana Hilo gazeti.
Kweli kizuri hakidumu
 
leo ndiyo nimejua kumbe Munga alifariki,nilijaribu hata kumgoogle lakini sikupata la maana,du nimesikitika sana
 
Kwa Comments Hizi inaonekana Munga Tehenan alikuwa na Cha Ziada... Aliitendea vema Dunia alimokuwa..
Remember ...."Who Will Cry When You Die???"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…